Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Kwa wale wanaotaka kutoka kimaisha au wana interest na ufundi basi hii fani ya Plumbing ni mkombozi kwao, ina fursa nyingi sana za kujiajiri na kuajiriwa. Kwa utafiti wangu mafundi bomba baadhi yao hawajasomea hii kazi na wanaifanya kwa kubatisha sana, wachache ndio wanaiweza lakini pia fundi bomba aliyesoma anaweza kufanya kazi kwenye gas na mafuta. Soko la ajira ni kubwa sana.
Kama una ndugu mtoto ambaye unapenda akasome ufundi mpeleke kwenye ufundi bomba plumbing vyuo vinavyotoa plumbing sio vingi sana, ni vichache sana baadhi ninavyojua kwa Dar na Pwani ni
Shirika la elimu Kibaha
VETA Mwanza
VETA Iringa.
VETA Kigoma
Kama una ndugu mtoto ambaye unapenda akasome ufundi mpeleke kwenye ufundi bomba plumbing vyuo vinavyotoa plumbing sio vingi sana, ni vichache sana baadhi ninavyojua kwa Dar na Pwani ni
Shirika la elimu Kibaha
VETA Mwanza
VETA Iringa.
VETA Kigoma