Kumekuwa na wimbi la matapeli kwenye soko la ajira kwa kuwatapeli wanatafuta kazi kuwa watoe kitu kidogo ili wawapitishe kwenye usaili, najiuliza kweli wewe mwajiri unahitaji elfu 40 au 50 kwa mtafuta ajira?, kama sisi tunatafuta ajira tumeamua kugeukana nayo tujue.