mediaman
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 451
- 687
- Thread starter
- #41
Ndio, kwa ajili ya uzima wa milele. Si unajua duniani sisi ni wapitaji?Sasa mimi sijui utanisaidiaje, nakula mtungi tangu 1988 nikiwa shule ya msingi (ilikuwa inapikwa nyumbani) mpaka sasa. Lakini nimejenga na watoto nawalipia ada vizuri kabisa. Familia iko na furaha kabisa, tena nikinywa huwa napenda kuwapa surprise ya vijizawadi. Kwa hiyo niache pombe?