Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi - 2

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi - 2

Msonjo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2019
Posts
1,378
Reaction score
2,394
Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence.

Mimi mtu akinambia hivi swali la kwanza linalokuja akilini mwangu, ni je, hiyo nature inaakili(ufahamu)?.

Kinacho mpambanua mwanaadamu, na kumuwezesha kufanya mambo yake kwa mpangilio ni akili yake, hata wanyama nao wanaufahamu hatakama tutasema hawana akili ndio maana na wao kuna mambo wanayafanya kwa mpangilio.

Hivyo jambo/kitu chochote kuwa katika mpangilio kunalazimu uwepo wa kilicho sababisha huo mpangilio, ambapo kwa mambo ya mwanaadamu ni yeye mwenyewe kwa sababu anaakili, na anaevuruga mambo huyo ni chizi(hana akili).

Ndio maana ninauliza je hiyo nature inaakili?

Kwa sababu mpangilio huu wa ulimwengu uliokamilika na usio na dosari, unalazimu uwepo wa akili yenye ujuzi iliyotumika kuweka kila jambo katika mpangilio.

Na kama nature haina akili basi ingelazimu huu ulimwengu kutokuwa katika mpangilio uliokamilika na usio na dosari.

Labda utasema huu mpangilio ni coincidence, ok.

Kwani coincidence ni nini?
Wanasema coincidence of events is the appearance of a meaningful connection when there is none.

Hivyo ni kama kitendo cha kunguru kumnyea mwanaadamu, unaweza ukadhani alikusudia lakini kumbe ni coincidence tu.

Lakini unaonaje mtu akija kukuambia, bwana kila nikipita sehemu fulani kwenda kazini siku fulani, kuna kunguru huja kininyea kichwani.
Kunguru ni yuleyule, sehemu ile ile, Kila akienda kazini, na sehemu anayomnyea ni ile ile.

Asee, atakayekwambia hiyo ni coincidence atakuwa na matatizo ya akili, huyo kunguru ima anaakili ya binadamu au katumwa ndio maana hakosei.

Hivyo coincidence hailazimu kwa huu ulimwengu kuwa na mpangilio uliokamilika na usio na mapungufu yeyote, Bali kama ingekuwa hivyo basi ingetakiwa mambo yawe randomly.

Wote tunafahamu jinsi wanasayansi walivyofanya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kuhusu huu ulimwengu, na wametuelimisha jinsi huu ulimwengu ulivyokuwa katika mpangilio usio kuwa na dosari yeyote wala kuingiliana.

The solar system, the internal and external processes of the Earth, na jinsi zinavyofanyika kwa mpangilio.

Na tuache huu mpangilio wa ulimwengu sisi wanaadamu wenyewe tukijiangalia, tunaona jinsi miili yetu ilivyokaa kimpangilio na kufanya kazi kwa mpangilio, na tunajua hatujajiumba wenyewe bali tumeumbwa.

Hivyo kama mtu anasema ni nature basi hiyo nature itakuwa inaakili maana sio kwa kujipangilia huku tuseme ni coincidence.

Wakana Mungu wanasema haya yametokana na nature, basi kama wanasema hivyo itakuwa hiyo nature inaakili na ndio mungu wao, maana wameipa sifa ya uungu, kwa kusema ndio chanzo cha ulimwengu na ndio iliyowaumba, hata kama hawaiabudu au haina dhati.

Maana kwetu sisi waislamu aliyeuumba huu ulimwengu na vilivyomo ndiye tunayemuita Mwenyezimungu (Allah subhaanahu wataa'la) na kumuabudu.

Atakwambia ndio ulimwengu upo katika mpangilio lakini huo sio uthibitisho kwamba mungu yupo............... Umesema kweli kabisa ewe mkana mungu.

Ndio mpangilio wa ulimwengu sio uthibitisho kuwa mungu yupo bali ni alama/ishara ya kwamba kuna aliyeuweka huu mpangilio, na huyo ndiye aliye uumba huu ulimwengu.

Hivyo mwenye akili anakili na kukubali kuwa huu ulimwengu kuna aliyeuweka katika huu mpangilio na anayesema huu ulimwengu umetokea tu basi huyo ni mkaidi tu, na analeta kiburi, ilhali unajua kuwa hiwezekani jambo kama hilo.

Atakuambia thibitisha kama mungu yupo?

Sasa wewe ilikuwaje mpaka ukaconclude kwamba mungu hayupo? halafu hapo hapo hujui ilikuwaje huu ulimwengu upo katika huu mpangilio?

Umezaliwa umeukuta na utakufa utauacha, na ulipozaliwa habari za uwepo wa mungu umezikuta, umeambiwa mungu ndiye aliyeumba huu ulimwengu, ukakanusha ilhali aliye uumba humjui.

Jamani niacheni niendelee kuwaita hawa watu wakaidi.

===
Iliyotangulia soma Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Muendelezo soma Wanaopinga uwepo wa mungu ni.....-3
 
Hivyo jambo/kitu chochote kuwa katika mpangilio kunalazimu uwepo wa kilicho sababisha huo mpangilio, ambapo kwa mambo ya mwanaadamu ni yeye mwenyewe kwa sababu anaakili, na anaevuruga mambo huyo ni chizi(hana akili).

Ndio maana ninauliza je hiyo nature ina akili?
Huyo Mungu naye si anafanya haya yote Kwa mpangilio?
Na kama chochote chenye mpangilio kina kisabababishi/chanzo.
Huyo Mungu katokea wapi?
 
Kutengeneza sio shida, shida ni security na kupata watumiaji. Kwani TZ ni watu wangapi wamejaribu kutengeneza social media sites na app wanakosa watembeleaji?
Mara pamoja app, mara mayocco, mara sijui nini lakini uwa zinafail.
Nikiweka hii analogy ntakuwa nakosea? correct me if I'm wrong.

Ni kama maduka ya Samsung pale kariakoo...watu wengi wanaweza kufungua maduka ya simu Na kuuza Samsung ila hawawezi kuyafikia maduka ya Samsung Kwa security, guarantee, warranty,promotion.

Lakini pia haimaanishi Hao jamaa wa samsung Pale kariakoo walizigundua/wanazitengeneza Hizo simu au wanachangia chochote kwenye quality ya Hizo simu....ndio kama JF
 
Nikiweka hii analogy ntakuwa nakosea? correct me if I'm wrong.

Ni kama maduka ya Samsung pale kariakoo...watu wengi wanaweza kufungua maduka ya simu Na kuuza Samsung ila hawawezi kuyafikia maduka ya Samsung Kwa security, guarantee, warranty,promotion.

Lakini pia haimaanishi Hao jamaa wa samsung Pale kariakoo walizigundua/wanazitengeneza Hizo simu au wanachangia chochote kwenye quality ya Hizo simu....ndio kama JF
Haiendani kwasababu akina melo, wanahakikisha ulinzinna usalama wa hili jukwaa hadi kuna codes walizoedit, wanaupdate security patches, yani ukiirun hii kitu kama ilivyo ni rahisi kuwa compromised kwasababu code zake ziko hadharani, ndiyo maana watu wanaedit code nyingine ili kuongeza ulinzi
 
Haiendani kwasababu akina melo, wanahakikisha ulinzinna usalama wa hili jukwaa hadi kuna codes walizoedit, wanaupdate security patches, yani ukiirun hii kitu kama ilivyo ni rahisi kuwa compromised kwasababu code zake ziko hadharani, ndiyo maana watu wanaedit code nyingine ili kuongeza ulinzi
Nakubali
 
Labda tufanye hivi,
Google anatengeneza Android, so akina Samsúng, Vivo, Sony, infinix na wengine wanaichukua android na kuicustomize kila mmoja kuweka ulinzi wake lakini mwisho wa siku ni android ila Android ya samsung and infinix zina level ya security tofauti.
 
Labda tufanye hivi,
Google anatengeneza Android, so akina Samsúng, Vivo, Sony, infinix na wengine wanaichukua android na kuicustomize kila mmoja kuweka ulinzi wake lakini mwisho wa siku ni android ila Android ya samsung and infinix zina level ya security tofauti.
Nakubali Mzee...ila change ya android ya samsung from source code Ni tofauti ya saa 7 mchana Na saa 1 jioni...
ila change ya hii JF Ni saa5 asubuhi Na saa 5 Na dakika ishirini asubuhi
 
Nakubali Mzee...ila change ya android ya samsung from source code Ni tofauti ya saa 7 mchana Na saa 1 jioni...
ila change ya hii JF Ni saa5 asubuhi Na saa 5 Na dakika ishirini asubuhi
Samsung si juu wanaweka skin yao sijui ndo touchwiz sijui kitu gani uzuri watengeneza simu karibu wote juu Android wanaivalisha skin kujitofaurisha. Ila at the core ni Android mzee
 
Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence.

Mimi mtu akinambia hivi swali la kwanza linalokuja akilini mwangu, ni je, hiyo nature inaakili(ufahamu)?.

Kinacho mpambanua mwanaadamu, na kumuwezesha kufanya mambo yake kwa mpangilio ni akili yake, hata wanyama nao wanaufahamu hatakama tutasema hawana akili ndio maana na wao kuna mambo wanayafanya kwa mpangilio.

Hivyo jambo/kitu chochote kuwa katika mpangilio kunalazimu uwepo wa kilicho sababisha huo mpangilio, ambapo kwa mambo ya mwanaadamu ni yeye mwenyewe kwa sababu anaakili, na anaevuruga mambo huyo ni chizi(hana akili).

Ndio maana ninauliza je hiyo nature inaakili?

Kwa sababu mpangilio huu wa ulimwengu uliokamilika na usio na dosari, unalazimu uwepo wa akili yenye ujuzi iliyotumika kuweka kila jambo katika mpangilio.

Na kama nature haina akili basi ingelazimu huu ulimwengu kutokuwa katika mpangilio uliokamilika na usio na dosari.

Labda utasema huu mpangilio ni coincidence, ok.

Kwani coincidence ni nini?
Wanasema coincidence of events is the appearance of a meaningful connection when there is none.

Hivyo ni kama kitendo cha kunguru kumnyea mwanaadamu, unaweza ukadhani alikusudia lakini kumbe ni coincidence tu.

Lakini unaonaje mtu akija kukuambia, bwana kila nikipita sehemu fulani kwenda kazini siku fulani, kuna kunguru huja kininyea kichwani.
Kunguru ni yuleyule, sehemu ile ile, Kila akienda kazini, na sehemu anayomnyea ni ile ile.

Asee, atakayekwambia hiyo ni coincidence atakuwa na matatizo ya akili, huyo kunguru ima anaakili ya binadamu au katumwa ndio maana hakosei.

Hivyo coincidence hailazimu kwa huu ulimwengu kuwa na mpangilio uliokamilika na usio na mapungufu yeyote, Bali kama ingekuwa hivyo basi ingetakiwa mambo yawe randomly.

Wote tunafahamu jinsi wanasayansi walivyofanya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kuhusu huu ulimwengu, na wametuelimisha jinsi huu ulimwengu ulivyokuwa katika mpangilio usio kuwa na dosari yeyote wala kuingiliana.

The solar system, the internal and external processes of the Earth, na jinsi zinavyofanyika kwa mpangilio.

Na tuache huu mpangilio wa ulimwengu sisi wanaadamu wenyewe tukijiangalia, tunaona jinsi miili yetu ilivyokaa kimpangilio na kufanya kazi kwa mpangilio, na tunajua hatujajiumba wenyewe bali tumeumbwa.

Hivyo kama mtu anasema ni nature basi hiyo nature itakuwa inaakili maana sio kwa kujipangilia huku tuseme ni coincidence.

Wakana Mungu wanasema haya yametokana na nature, basi kama wanasema hivyo itakuwa hiyo nature inaakili na ndio mungu wao, maana wameipa sifa ya uungu, kwa kusema ndio chanzo cha ulimwengu na ndio iliyowaumba, hata kama hawaiabudu au haina dhati.

Maana kwetu sisi waislamu aliyeuumba huu ulimwengu na vilivyomo ndiye tunayemuita Mwenyezimungu (Allah subhaanahu wataa'la) na kumuabudu.

Atakwambia ndio ulimwengu upo katika mpangilio lakini huo sio uthibitisho kwamba mungu yupo............... Umesema kweli kabisa ewe mkana mungu.

Ndio mpangilio wa ulimwengu sio uthibitisho kuwa mungu yupo bali ni alama/ishara ya kwamba kuna aliyeuweka huu mpangilio, na huyo ndiye aliye uumba huu ulimwengu.

Hivyo mwenye akili anakili na kukubali kuwa huu ulimwengu kuna aliyeuweka katika huu mpangilio na anayesema huu ulimwengu umetokea tu basi huyo ni mkaidi tu, na analeta kiburi, ilhali unajua kuwa hiwezekani jambo kama hilo.

Atakuambia thibitisha kama mungu yupo?

Sasa wewe ilikuwaje mpaka ukaconclude kwamba mungu hayupo? halafu hapo hapo hujui ilikuwaje huu ulimwengu upo katika huu mpangilio?

Umezaliwa umeukuta na utakufa utauacha, na ulipozaliwa habari za uwepo wa mungu umezikuta, umeambiwa mungu ndiye aliyeumba huu ulimwengu, ukakanusha ilhali aliye uumba humjui.

Jamani niacheni niendelee kuwaita hawa watu wakaidi.
Wanaosema Mungu yupo ndio wakaidi.

1. Wanalazimisha Mungu yupo. Bila uthibitisho. Huo ni ukaidi.

2. Wanalazimisha wengine waamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.

3. Wanasema Mungu wao ana majibu yote, wakidharau vyanzo vingine. Huo ninl ukaidi.

4. Wanajiona wana hatimiliki ya mbingu kwa kupitia Mungu wao. Huo ni ukaidi.

5.Wanawanyanyapaa wasiomuamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.
 
Unajua kuna backend na front end. Mtumiaji anaona tu front end lakini kuna mabadiliko mengi yanafanyika nyuma na yanaleta utofauti lakini wewe kama mtumiaji hujui.
Ni sawa na upgrades za OS hata windows, uwa mtumiaji kihaoni tofauti lakini kuna security patches na mambo mengine yanafanyika ndani huko.
Backend is important but front end is everything
 
Wanaosema Mungu yupo ndio wakaidi.

1. Wanalazimisha Mungu yupo. Bila uthibitisho. Huo ni ukaidi.

2. Wanalazimisha wengine waamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.

3. Wanasema Mungu wao ana majibu yote, wakidharau vyanzo vingine. Huo ninl ukaidi.

4. Wanajiona wana hatimiliki ya mbingu kwa kupitia Mungu wao. Huo ni ukaidi.

5.Wanawanyanyapaa wasiomuamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.
Well said
 
Backend is important but front end is everything
Kwa watumiaji UI ni muhimu sana kwasababu mtumiaji hajali nini kinaendelea nyuma maana hata hana haja ya kujua, lakini kwa hii softwate ilivyotengenezwa it seems kwenye UI washamaliza watu wameikubali so anayeitumia kwenye forum naona wanaweka nguvu kubwa kuimarisha yaliyoko nyuma
 
Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence.

Mimi mtu akinambia hivi swali la kwanza linalokuja akilini mwangu, ni je, hiyo nature inaakili(ufahamu)?.

Kinacho mpambanua mwanaadamu, na kumuwezesha kufanya mambo yake kwa mpangilio ni akili yake, hata wanyama nao wanaufahamu hatakama tutasema hawana akili ndio maana na wao kuna mambo wanayafanya kwa mpangilio.

Hivyo jambo/kitu chochote kuwa katika mpangilio kunalazimu uwepo wa kilicho sababisha huo mpangilio, ambapo kwa mambo ya mwanaadamu ni yeye mwenyewe kwa sababu anaakili, na anaevuruga mambo huyo ni chizi(hana akili).

Ndio maana ninauliza je hiyo nature inaakili?

Kwa sababu mpangilio huu wa ulimwengu uliokamilika na usio na dosari, unalazimu uwepo wa akili yenye ujuzi iliyotumika kuweka kila jambo katika mpangilio.

Na kama nature haina akili basi ingelazimu huu ulimwengu kutokuwa katika mpangilio uliokamilika na usio na dosari.

Labda utasema huu mpangilio ni coincidence, ok.

Kwani coincidence ni nini?
Wanasema coincidence of events is the appearance of a meaningful connection when there is none.

Hivyo ni kama kitendo cha kunguru kumnyea mwanaadamu, unaweza ukadhani alikusudia lakini kumbe ni coincidence tu.

Lakini unaonaje mtu akija kukuambia, bwana kila nikipita sehemu fulani kwenda kazini siku fulani, kuna kunguru huja kininyea kichwani.
Kunguru ni yuleyule, sehemu ile ile, Kila akienda kazini, na sehemu anayomnyea ni ile ile.

Asee, atakayekwambia hiyo ni coincidence atakuwa na matatizo ya akili, huyo kunguru ima anaakili ya binadamu au katumwa ndio maana hakosei.

Hivyo coincidence hailazimu kwa huu ulimwengu kuwa na mpangilio uliokamilika na usio na mapungufu yeyote, Bali kama ingekuwa hivyo basi ingetakiwa mambo yawe randomly.

Wote tunafahamu jinsi wanasayansi walivyofanya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kuhusu huu ulimwengu, na wametuelimisha jinsi huu ulimwengu ulivyokuwa katika mpangilio usio kuwa na dosari yeyote wala kuingiliana.

The solar system, the internal and external processes of the Earth, na jinsi zinavyofanyika kwa mpangilio.

Na tuache huu mpangilio wa ulimwengu sisi wanaadamu wenyewe tukijiangalia, tunaona jinsi miili yetu ilivyokaa kimpangilio na kufanya kazi kwa mpangilio, na tunajua hatujajiumba wenyewe bali tumeumbwa.

Hivyo kama mtu anasema ni nature basi hiyo nature itakuwa inaakili maana sio kwa kujipangilia huku tuseme ni coincidence.

Wakana Mungu wanasema haya yametokana na nature, basi kama wanasema hivyo itakuwa hiyo nature inaakili na ndio mungu wao, maana wameipa sifa ya uungu, kwa kusema ndio chanzo cha ulimwengu na ndio iliyowaumba, hata kama hawaiabudu au haina dhati.

Maana kwetu sisi waislamu aliyeuumba huu ulimwengu na vilivyomo ndiye tunayemuita Mwenyezimungu (Allah subhaanahu wataa'la) na kumuabudu.

Atakwambia ndio ulimwengu upo katika mpangilio lakini huo sio uthibitisho kwamba mungu yupo............... Umesema kweli kabisa ewe mkana mungu.

Ndio mpangilio wa ulimwengu sio uthibitisho kuwa mungu yupo bali ni alama/ishara ya kwamba kuna aliyeuweka huu mpangilio, na huyo ndiye aliye uumba huu ulimwengu.

Hivyo mwenye akili anakili na kukubali kuwa huu ulimwengu kuna aliyeuweka katika huu mpangilio na anayesema huu ulimwengu umetokea tu basi huyo ni mkaidi tu, na analeta kiburi, ilhali unajua kuwa hiwezekani jambo kama hilo.

Atakuambia thibitisha kama mungu yupo?

Sasa wewe ilikuwaje mpaka ukaconclude kwamba mungu hayupo? halafu hapo hapo hujui ilikuwaje huu ulimwengu upo katika huu mpangilio?

Umezaliwa umeukuta na utakufa utauacha, na ulipozaliwa habari za uwepo wa mungu umezikuta, umeambiwa mungu ndiye aliyeumba huu ulimwengu, ukakanusha ilhali aliye uumba humjui.

Jamani niacheni niendelee kuwaita hawa watu wakaidi.
Una uhakika mpangilio wa ulimwengu hauna dosari au unaropoka tu
 
Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence.

Mimi mtu akinambia hivi swali la kwanza linalokuja akilini mwangu, ni je, hiyo nature inaakili(ufahamu)?.

Kinacho mpambanua mwanaadamu, na kumuwezesha kufanya mambo yake kwa mpangilio ni akili yake, hata wanyama nao wanaufahamu hatakama tutasema hawana akili ndio maana na wao kuna mambo wanayafanya kwa mpangilio.

Hivyo jambo/kitu chochote kuwa katika mpangilio kunalazimu uwepo wa kilicho sababisha huo mpangilio, ambapo kwa mambo ya mwanaadamu ni yeye mwenyewe kwa sababu anaakili, na anaevuruga mambo huyo ni chizi(hana akili).

Ndio maana ninauliza je hiyo nature inaakili?

Kwa sababu mpangilio huu wa ulimwengu uliokamilika na usio na dosari, unalazimu uwepo wa akili yenye ujuzi iliyotumika kuweka kila jambo katika mpangilio.

Na kama nature haina akili basi ingelazimu huu ulimwengu kutokuwa katika mpangilio uliokamilika na usio na dosari.

Labda utasema huu mpangilio ni coincidence, ok.

Kwani coincidence ni nini?
Wanasema coincidence of events is the appearance of a meaningful connection when there is none.

Hivyo ni kama kitendo cha kunguru kumnyea mwanaadamu, unaweza ukadhani alikusudia lakini kumbe ni coincidence tu.

Lakini unaonaje mtu akija kukuambia, bwana kila nikipita sehemu fulani kwenda kazini siku fulani, kuna kunguru huja kininyea kichwani.
Kunguru ni yuleyule, sehemu ile ile, Kila akienda kazini, na sehemu anayomnyea ni ile ile.

Asee, atakayekwambia hiyo ni coincidence atakuwa na matatizo ya akili, huyo kunguru ima anaakili ya binadamu au katumwa ndio maana hakosei.

Hivyo coincidence hailazimu kwa huu ulimwengu kuwa na mpangilio uliokamilika na usio na mapungufu yeyote, Bali kama ingekuwa hivyo basi ingetakiwa mambo yawe randomly.

Wote tunafahamu jinsi wanasayansi walivyofanya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kuhusu huu ulimwengu, na wametuelimisha jinsi huu ulimwengu ulivyokuwa katika mpangilio usio kuwa na dosari yeyote wala kuingiliana.

The solar system, the internal and external processes of the Earth, na jinsi zinavyofanyika kwa mpangilio.

Na tuache huu mpangilio wa ulimwengu sisi wanaadamu wenyewe tukijiangalia, tunaona jinsi miili yetu ilivyokaa kimpangilio na kufanya kazi kwa mpangilio, na tunajua hatujajiumba wenyewe bali tumeumbwa.

Hivyo kama mtu anasema ni nature basi hiyo nature itakuwa inaakili maana sio kwa kujipangilia huku tuseme ni coincidence.

Wakana Mungu wanasema haya yametokana na nature, basi kama wanasema hivyo itakuwa hiyo nature inaakili na ndio mungu wao, maana wameipa sifa ya uungu, kwa kusema ndio chanzo cha ulimwengu na ndio iliyowaumba, hata kama hawaiabudu au haina dhati.

Maana kwetu sisi waislamu aliyeuumba huu ulimwengu na vilivyomo ndiye tunayemuita Mwenyezimungu (Allah subhaanahu wataa'la) na kumuabudu.

Atakwambia ndio ulimwengu upo katika mpangilio lakini huo sio uthibitisho kwamba mungu yupo............... Umesema kweli kabisa ewe mkana mungu.

Ndio mpangilio wa ulimwengu sio uthibitisho kuwa mungu yupo bali ni alama/ishara ya kwamba kuna aliyeuweka huu mpangilio, na huyo ndiye aliye uumba huu ulimwengu.

Hivyo mwenye akili anakili na kukubali kuwa huu ulimwengu kuna aliyeuweka katika huu mpangilio na anayesema huu ulimwengu umetokea tu basi huyo ni mkaidi tu, na analeta kiburi, ilhali unajua kuwa hiwezekani jambo kama hilo.

Atakuambia thibitisha kama mungu yupo?

Sasa wewe ilikuwaje mpaka ukaconclude kwamba mungu hayupo? halafu hapo hapo hujui ilikuwaje huu ulimwengu upo katika huu mpangilio?

Umezaliwa umeukuta na utakufa utauacha, na ulipozaliwa habari za uwepo wa mungu umezikuta, umeambiwa mungu ndiye aliyeumba huu ulimwengu, ukakanusha ilhali aliye uumba humjui.

Jamani niacheni niendelee kuwaita hawa watu wakaidi.
Tuambie kwanza Mungu yupo wapi...?
 
Una uhakika mpangilio wa ulimwengu hauna dosari au unaropoka tu
Halafu,

Hata kqmq kweli kunq mpangilio na complex order, na kila lenye complex order linahitaji muumbaji,hojq hiyo inaonesha Mungu muumba vyote hawezi kuwepo.
 
Halafu,

Hata kqmq kweli kunq mpangilio na complex order, na kila lenye complex order linahitaji muumbaji,hojq hiyo inaonesha Mungu muumba vyote hawezi kuwepo.
Na kama kila lenye complex order linahitaji muumbaji basi akili complex kama ya mungu yenye uwezo wa ku design ulimwengu na yenyewe itahitaji muumbaji hivyo atalazimika kueleza aliemuumba mungu ni nani
 
Huyo Mungu naye si anafanya haya yote Kwa mpangilio?
Na kama chochote chenye mpangilio kina kisabababishi/chanzo.
Huyo Mungu katokea wapi?
Mbona hatujamfikia mungu usiwe na pupa, kama umeelewa nilichoandika

Basi kaa kwa kutulia nikianza kueleza habari za Mungu ndio ulete hili swali.

Kwa sasa tunatangazia udhaifu wa hii hoja kuwa ulimwengu umetokana nature.

Nadhani tunaenda sambamba.
 
Back
Top Bottom