MathanzuaWanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" .
Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria.
Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho.
Mnadanganywa sijui shetani mara mpinga kristu vitu gani . Ujinga mtupu.
Hata kwenye vitabu vyenu vya Dini mitume na manabii wenu wana sapoti New World Order.
Mfano kwenye Bible "Revelation 21:1" unazungumzia kuhusu kushushwa Kwa mbingu Mpya na dunia Mpya. Andiko linamaanisha kusimikwa Kwa mfumo Mpya WA maisha ya hapa duniani ambao utakuws facilitated na maendeleo ya teknolojia.
Kwenye mfumo huo wa dunia Mpya hakutakuwa na magonjwa wala Vifo( Kwa sababu teknolojia itakuwa advanced na " Human mortality" will be a real thing. Kupitia teknolojia hiyo hiyo wafu watafufuliwa)
Mafundisho ya Dini ya kiislamu yanafundisha kuhusu siku ya Qiyama (kihama)ambayo Nabii Issa( Yesu) atashuka duniani.
Hukumu itatolewa wema wataenda peponi wabaya Jehanamu.
Ndio mfumo Mpya huo maisha ( New World Order)
Peponi itakuwa ni kula bata tu hakuna Kufa, Hakuna magonjwa, Hakuna Ibada ni kula raha tu ( Ndio New World Order yenyewe hiyo mkuu)
Conspiracy theorists wa New World Order wanasema kwenye mfumo Mpya wa dunia kutakuwa na matabaka mawili tu moja la matajiri na jingine la watumwa,😁😁😁 mafundisho ya Ukristu na Uislamu yana sema kutakuwa na pepo na Jehanamu. Wema wataenda peponi wabaya Jehanamu. Sasa huoni ndio New World Order yenyewe hiyo 😁😁😁
Naunga mkono New World Order. Ole wako nikujue unapinga New World Order ntakucharaza viboko mpaka utoke machozi ya damu
Tuorodheshee hivyo vitabu kwanza ili nasisi tupate hayo maarifa, coz ndio kwanza January so nadhani hadi katikati ya mwaka hapo nitakua nimemaliza hivyo vitabu 20... Natanguliza shukrani.Wanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" .
Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria.
Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho.
Mnadanganywa sijui shetani mara mpinga kristu vitu gani . Ujinga mtupu.
Hata kwenye vitabu vyenu vya Dini mitume na manabii wenu wana sapoti New World Order.
Mfano kwenye Bible "Revelation 21:1" unazungumzia kuhusu kushushwa Kwa mbingu Mpya na dunia Mpya. Andiko linamaanisha kusimikwa Kwa mfumo Mpya WA maisha ya hapa duniani ambao utakuws facilitated na maendeleo ya teknolojia.
Kwenye mfumo huo wa dunia Mpya hakutakuwa na magonjwa wala Vifo( Kwa sababu teknolojia itakuwa advanced na " Human mortality" will be a real thing. Kupitia teknolojia hiyo hiyo wafu watafufuliwa)
Mafundisho ya Dini ya kiislamu yanafundisha kuhusu siku ya Qiyama (kihama)ambayo Nabii Issa( Yesu) atashuka duniani.
Hukumu itatolewa wema wataenda peponi wabaya Jehanamu.
Ndio mfumo Mpya huo maisha ( New World Order)
Peponi itakuwa ni kula bata tu hakuna Kufa, Hakuna magonjwa, Hakuna Ibada ni kula raha tu ( Ndio New World Order yenyewe hiyo mkuu)
Conspiracy theorists wa New World Order wanasema kwenye mfumo Mpya wa dunia kutakuwa na matabaka mawili tu moja la matajiri na jingine la watumwa,😁😁😁 mafundisho ya Ukristu na Uislamu yana sema kutakuwa na pepo na Jehanamu. Wema wataenda peponi wabaya Jehanamu. Sasa huoni ndio New World Order yenyewe hiyo 😁😁😁
Naunga mkono New World Order. Ole wako nikujue unapinga New World Order ntakucharaza viboko mpaka utoke machozi ya damu
Unaogopa kufa mkuu Acha upumbavuHuna unalojua.
Ni upande wa pili bila shaka.
Okay ntaviorodhesha hapa asubuhi mkuu. You are the true son of your father I like your attitude. Utafika mbali sana kwenye maisha . Wewe ndio umeelewa nolicho andikaTuorodheshee hivyo vitabu kwanza ili nasisi tupate hayo maarifa, coz ndio kwanza January so nadhani hadi katikati ya mwaka hapo nitakua nimemaliza hivyo vitabu 20... Natanguliza shukrani.
"Mafundisho ya Dini ya kiislamu yanafundisha kuhusu siku ya Qiyama (kihama)ambayo Nabii Issa( Yesu) atashuka duniani."Wanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" .
Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria.
Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho.
Mnadanganywa sijui shetani mara mpinga kristu vitu gani . Ujinga mtupu.
Hata kwenye vitabu vyenu vya Dini mitume na manabii wenu wana sapoti New World Order.
Mfano kwenye Bible "Revelation 21:1" unazungumzia kuhusu kushushwa Kwa mbingu Mpya na dunia Mpya. Andiko linamaanisha kusimikwa Kwa mfumo Mpya WA maisha ya hapa duniani ambao utakuws facilitated na maendeleo ya teknolojia.
Kwenye mfumo huo wa dunia Mpya hakutakuwa na magonjwa wala Vifo( Kwa sababu teknolojia itakuwa advanced na " Human mortality" will be a real thing. Kupitia teknolojia hiyo hiyo wafu watafufuliwa)
Mafundisho ya Dini ya kiislamu yanafundisha kuhusu siku ya Qiyama (kihama)ambayo Nabii Issa( Yesu) atashuka duniani.
Hukumu itatolewa wema wataenda peponi wabaya Jehanamu.
Ndio mfumo Mpya huo maisha ( New World Order)
Peponi itakuwa ni kula bata tu hakuna Kufa, Hakuna magonjwa, Hakuna Ibada ni kula raha tu ( Ndio New World Order yenyewe hiyo mkuu)
Conspiracy theorists wa New World Order wanasema kwenye mfumo Mpya wa dunia kutakuwa na matabaka mawili tu moja la matajiri na jingine la watumwa,😁😁😁 mafundisho ya Ukristu na Uislamu yana sema kutakuwa na pepo na Jehanamu. Wema wataenda peponi wabaya Jehanamu. Sasa huoni ndio New World Order yenyewe hiyo 😁😁😁
Naunga mkono New World Order. Ole wako nikujue unapinga New World Order ntakucharaza viboko mpaka utoke machozi ya damu
New world order wanayoipigia kampeni wachache wanaojua nini maana na makusudio yake sio hiyo ulioyoielezea hapo. Ni mkusanyiko wa ‘mapya’ yenye lengo la kuondoa yale mazuri yaliyopo na yaliyoasisiwa na watu wema na Mungu. Agenda hii ni ya kijanja na wengi wanafikiri ni jambo la kawaida tu.Wanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" .
Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria.
Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho.
Mnadanganywa sijui shetani mara mpinga kristu vitu gani . Ujinga mtupu.
Hata kwenye vitabu vyenu vya Dini mitume na manabii wenu wana sapoti New World Order.
Mfano kwenye Bible "Revelation 21:1" unazungumzia kuhusu kushushwa Kwa mbingu Mpya na dunia Mpya. Andiko linamaanisha kusimikwa Kwa mfumo Mpya WA maisha ya hapa duniani ambao utakuws facilitated na maendeleo ya teknolojia.
Kwenye mfumo huo wa dunia Mpya hakutakuwa na magonjwa wala Vifo( Kwa sababu teknolojia itakuwa advanced na " Human mortality" will be a real thing. Kupitia teknolojia hiyo hiyo wafu watafufuliwa)
Mafundisho ya Dini ya kiislamu yanafundisha kuhusu siku ya Qiyama (kihama)ambayo Nabii Issa( Yesu) atashuka duniani.
Hukumu itatolewa wema wataenda peponi wabaya Jehanamu.
Ndio mfumo Mpya huo maisha ( New World Order)
Peponi itakuwa ni kula bata tu hakuna Kufa, Hakuna magonjwa, Hakuna Ibada ni kula raha tu ( Ndio New World Order yenyewe hiyo mkuu)
Conspiracy theorists wa New World Order wanasema kwenye mfumo Mpya wa dunia kutakuwa na matabaka mawili tu moja la matajiri na jingine la watumwa,😁😁😁 mafundisho ya Ukristu na Uislamu yana sema kutakuwa na pepo na Jehanamu. Wema wataenda peponi wabaya Jehanamu. Sasa huoni ndio New World Order yenyewe hiyo 😁😁😁
Naunga mkono New World Order. Ole wako nikujue unapinga New World Order ntakucharaza viboko mpaka utoke machozi ya damu
New World Order italeta Dini moja duniani Tatizo LiPo wapi?New world order wanayoipigia kampeni wachache wanaojua nini maana na makusudio yake sio hiyo ulioyoielezea hapo. Ni mkusanyiko wa ‘mapya’ yenye lengo la kuondoa yale mazuri yaliyopo na yaliyoasisiwa na watu wema na Mungu. Agenda hii ni ya kijanja na wengi wanafikiri ni jambo la kawaida tu.
Ni kweli new world order sio kitu kigeni duniani kila karne au miongo kadhaa hutokea. Mfano Yesu aliketa new world order na ndio unaona mambo mengi duniani ni Christocentric. Sasa inataka kuletwa new world order nyingine ambayo ni counteractive na hii iliyopo where everything Christian will be erased. Unaweza kuwa mmoja wa wanaotaka kufanya hivyo kwa kujua ama kwa kutojua na ndivyo huo mpango unavyofanya kazi.
Nyie mlio nyuma ya NWO kwa kujua ama kwa kutojua mnaelewa nini maana ya dini moja au dini mpya baada ya Christo. Ni dini mpya yenye lengo la ku-counteract Ukristo na dini nyingine zote zilizobeba mema yanayomfanya mwanadamu kuwa kiumbe huru na tukufu.New World Order italeta Dini moja duniani Tatizo LiPo wapi?
Sio Kweli mkuuNyie mlio nyuma ya NWO kwa kujua ama kwa kutojua mnaelewa nini maana ya dini moja au dini mpya baada ya Christo. Ni dini mpya yenye lengo la ku-counteract Ukristo na dini nyingine zote zilizobeba mema yanayomfanya mwanadamu kuwa kiumbe huru na tukufu.
Ule mwanga ukioletwa na Kristo ambao unaendelea kukua inaonekana utaleta madhara makubwa kwa upande wa giza na hivyo lazima uzimwe kwa mbinu mpya na mpango mpya wa kihistoria unaomhusisha binadamu.
NWO haijaanza siku za karibuni kama watu wanavyfikiri. Ni mpango sambamba na ni kitu kilicho katika mfumo asili wa mambo yote. It’s a dialectic process. Umesoma dialectic materialism ya Karl Max au thesis vs antithesis theory ya Hegelian philosophy utagundua NWO ni mambo ya Pwagu na Pwaguzi. Nakubaliana na wewe anway NWO haiepukiki ni mapokezano ya usiku na mchana. Nani anaweza kuzuia usiku usipokezane na mchana?Sio Kweli mkuu
Upo sahihi kabisa mkuu. NWO Sio Tatizo kabisa kama watu wengi wanavyo fikiriaNWO haijaanza siku za karibuni kama watu wanavyfikiri. Ni mpango sambamba na ni kitu kilicho katika mfumo asili wa mambo yote. It’s a dialectic process. Umesoma dialectic materialism ya Karl Max au thesis vs antithesis theory ya Hegelian philosophy utagundua NWO ni mambo ya Pwagu na Pwaguzi. Nakubaliana na wewe anway NWO haiepukiki ni mapokezano ya usiku na mchana. Nani anaweza kuzuia usiku usipokezane na mchana?
Usiku unapoingia sio tatizo ila unapaswa kuwa mwangalifu na ujue namna ya kutembea kwenye giza. Uwe mwangalifu na uijue vizuri NWO la sivyo utatumbukia shimoni.Upo sahihi kabisa mkuu. NWO Sio Tatizo kabisa kama watu wengi wanavyo fikiria