karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Bac ungekua mwanamkeNdevu ni uchafu.
Bac ungekua mwanamkeNdevu ni uchafu.
Haya nimeshatanua njoo!Ushakubali wewe tanua hilo tanuru watu tutie kuni moto ukolee.
Hatutakusemea kwa Makonda
upogoNeno kuntuuuu
Unataka kupigwa wwBac ungekua mwanamke
Uislam umetaka muislam wa kiume aache ndevu!akifanya hivyo hiyo itakuwa ni ktk amali njema na Allah atamlipa ujira juu ya Ibada hiyo!wito waislam wa kiume tusinyoe ndevu ili tutekeleze ibada hii!
Sio kwamba watu hushobokea walichokitafuta kwa nguvuUkipatacho kwa kukihangaikia au bila kutarajia lazima ukishobokee. Sisi ambao ndevu ni jadi yetu hatuzishobokei kihivyo..
Wanaume kama mabinti!!!!!Unakuta wa Kiume Kanyoa ndevu zote halafu anasuka Nywele!
Kwahiyo mkuu hapo ulipo hata Nywele za VUTU unyoi. Utaenda kinyume na aliyekupa. Haya tumekuelewa
TehNimesema huwa nanyoa kwa kiasi ila huwa sinyoi zote.
Wewe nyoa ndevu zote na huko chini ili ufanane na demu wako!!
NotedUislam umetaka muislam wa kiume aache ndevu!akifanya hivyo hiyo itakuwa ni ktk amali njema na Allah atamlipa ujira juu ya Ibada hiyo!wito waislam wa kiume tusinyoe ndevu ili tutekeleze ibada hii!