kunjua moyo mrembo unisamehe?😟
kunjua moyo mrembo unisamehe?😟
Labda itakua wamemshika matako,Kwani huyu dada wamemfanya nini...?
kwamfano nikiona Hilo wowowo ulilo weka linani tamanisha.sasa nifanyeje?Acha body shaming mkuu sio vizuri kabisa nyie ndio mnafanya wanawake wawe fake kwa kutojikubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo Aina za watu wanaoona wenzao wabaya wakati wao ni matatizo
Una amini maandishi ya hao wanao msakama je kama ni id yake nyingine we Jf ina vituko hiiNi sawa itakuwa swala la mahusiano yanamchanganya lakin sio vizuri watu kumzonga na kumtukana kuhusu mwili wake
Sio shida zangucheusi halafu una kigugumizi🤣🤣🤣dah kazi unayo
😂 Anaandika alafu anajijibu mwenyewe JF kibokoUna amini maandishi ya hao wanao msakama je kama ni id yake nyingine we Jf ina vituko hii
Toka I’d ya yule mkongwe ziunganishwe sitaki kuwa serious sanaa kwenye mada ya mtu😬😁😁😁😂 Anaandika alafu anajijibu mwenyewe JF kiboko
😂😂😂 Pussy🤣🤣🤣umeamua kuweka vinyau kwenye avator🤣🤣
Huyu dada anapitia kipindi kigumu sana probably cha mahusiano. Kuliko kumtukana na kumwita taahira hana akili basi angesaidiwa hata kumfariji arudi katika hali yake.
Pia body shaming sio nzuri, hivi nyie wanaume wa JF lini mtaacha kutukana na kuwadhalilisha dada zenu?? Hayo manyonyo si ndio kilikuwa chakula chenu mlipozaliwa leo mnajifanya kutukana wanawake?? Mara kuita malaya mtu hata humjui, mara kuuchambua mwili wa mtu hata humjui grow up guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mental illness is ReallyWatu wazima ovyoo mnaona wivu na mtaona sana na kama matusi mnayo basi fungueni kijiwe muwe mnapeana notes ila kuachwa siachwi ng'o mtabakia kubadili ID muwe mashoga , muwe vichaa kazi kupiga ramli kujua maisha ya watu yaone tukaneni muchoke atabikia kuitwa .
Honey
Pokeeni vichamboo vyenu msiojielewa .
Eti maziwa kama ndala zako umezilaza wewe kazi umbeya .
Mwanaume unatoka utokako eti unamchamba usiye mjua na eti unang'ang'ana hadi basi.
Kaa Kwa tulia sindano ikuingie bibie au jike dume , paka shume .
Sura haieleweki which is which au what .
Chukua sabuni ingia bafuni kwako utasaidikakwamfano nikiona Hilo wowowo ulilo weka linani tamanisha.sasa nifanyeje?
Uspokuwa makini stress zitakuuwaWatu wazima ovyoo mnaona wivu na mtaona sana na kama matusi mnayo basi fungueni kijiwe muwe mnapeana notes ila kuachwa siachwi ng'o mtabakia kubadili ID muwe mashoga , muwe vichaa kazi kupiga ramli kujua maisha ya watu yaone tukaneni muchoke atabikia kuitwa .
Honey
Pokeeni vichamboo vyenu msiojielewa .
Eti maziwa kama ndala zako umezilaza wewe kazi umbeya .
Mwanaume unatoka utokako eti unamchamba usiye mjua na eti unang'ang'ana hadi basi.
Kaa Kwa tulia sindano ikuingie bibie au jike dume , paka shume .
Sura haieleweki which is which au what .
samahani dada Wala sikujui.usije ukakwazika bure.sikujui rangi Wala kabila.usiku mwema🤚😘😘Sio shida zangu
umeona zarau hizo sasa?halafu mnataka tusiwaseme.kwahio unataka nipige nyeto nijiharibu? acha rohombaya haya Mambo nikusaidiana
Guys Tena jamani .. umeharibu ulopoweka wingiHuyu dada anapitia kipindi kigumu sana probably cha mahusiano. Kuliko kumtukana na kumwita taahira hana akili basi angesaidiwa hata kumfariji arudi katika hali yake.
Pia body shaming sio nzuri, hivi nyie wanaume wa JF lini mtaacha kutukana na kuwadhalilisha dada zenu?? Hayo manyonyo si ndio kilikuwa chakula chenu mlipozaliwa leo mnajifanya kutukana wanawake?? Mara kuita malaya mtu hata humjui, mara kuuchambua mwili wa mtu hata humjui grow up guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua unataka watu wasimsakame ila moto ndyo umewakaUna amini maandishi ya hao wanao msakama je kama ni id yake nyingine we Jf ina vituko hii
Nimeweka wingi sababu asilimia 60% ya wanaume wa JF hawaheshimu kabisa wanawake. Mkuu unaweza kuja na shida yako serious ukaishia kutukanwa na kudhalilishwa bila kosa. Nyuma ya keyboard watu wanajisahau sana.Guys Tena jamani .. umeharibu ulopoweka wingi
Mbona mimi nampenda Unique Flower alikuwa rafiki angu kabla sijapotea jf ningekuwa sijaoa pombe maybe [emoji4] ningejiongeza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwanza unakumbukaa ahadi ni deni??kunjua moyo mrembo unisamehe?[emoji45]