Wanaona gere

Wanaona gere

huyu dada sio kichaa Bali anahasira kila mwanaume anae kutana nae anamkojolea nakumkimbia.ana nuksi balaa.namichunusi usoni tako Hana🤣🤣miziwa mikubwa 🤣🤣halafu anataka nayeye awe mdangaji wakimataifa ajenge🤣pole Sana mchaga mbovu wasura naakili.
nitumie picha yake pm nione hayo mapele
 
Kwaiyo wenzetu mnapata mabwana humu humu na penzi linanoga kabisa adi watu wasopenda penzi lenu wanatokea humu humu
Kumbe jf sio ya kuichukulia poa 🤣
 
Yaan mie wananiuzi kweli. Sipendi hata kidg kudhihaki mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na wanawake humu wanalike mwenzao anatukanwa manyonyo wakati wote tuna nyonyo na huenda zimelala yoooooo ilitakiwa kuteteana mwenzetu anapotukanwa ila wakome, humu wanaume si wana dada zao manyonyo hayajalala.

Mliolike hapo mmeniskitisha
 
Na wanawake humu wanalike mwenzao anatukanwa manyonyo wakati wote tuna nyonyo na huenda zimelala yoooooo ilitakiwa kuteteana mwenzetu anapotukanwa ila wakome ,humu wanaume si wana dada zao manyonyo hayajalala
Mliolike hapo mmeniskitisha
JF kuna ujingaa m1 wa kuchokozana afu uki react unaonekana tahira, maisha yamekushnda, mara afya ya akili. Wanaboaa mnooo.

Mtu anamdhihaki mwenzie kisaa alivyo, kwan kuna mtu anaomba kuzaliwaa na kasoro. Naumia mnooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuta yeye ana bichwa kama funza wale Bukoba alf ashasema anaish kwao unadhani anaweza kua hata na pesa ya kununua lotion kutoa hizo takataka zake usoni. Huyo ni KKB "Kula kulala bure''

Huhuuuu ni wa kusamehe bure ,kila mtu kwenye ukoo wake wapo wabaya au sura mbaya au maumbo mabaya hakuna mwenye haki ya kumuambia mwenzie mbaya wakati hata kuumba kijiko hawezi
 
Kwaiyo wenzetu mnapata mabwana humu humu na penzi linanoga kabisa adi watu wasopenda penzi lenu wanatokea humu humu
Kumbe jf sio ya kuichukulia poa [emoji1787]

Mabwana wa maana wapo sana humu na takataka zipo zimejaa [emoji12] ulitegemea sehemu jinsia tofauti wasikulane
 
Huhuuuu ni wa kusamehe bure ,kila mtu kwenye ukoo wake wapo wabaya au sura mbaya au maumbo mabaya hakuna mwenye haki ya kumuambia mwenzie mbaya wakati hata kuumba kijiko hawezi
Yani ni hatari aiseh
 
JF kuna ujingaa m1 wa kuchokozana afu uki react unaonekana tahira, maisha yamekushnda, mara afya ya akili. Wanaboaa mnooo.

Mtu anamdhihaki mwenzie kisaa alivyo, kwan kuna mtu anaomba kuzaliwaa na kasoro. Naumia mnooo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mim huona tu uniqur anachangamsha genge na simchukuliagi serious ndio maana huwa nacheka lakin watu wamekomaza shingo[emoji23][emoji23]
 
Tukuone na wewe ni mzuri ?watu ambao huwa mnaponda wenzenu huwa hata hamtazamiki
Acha tabia yako ya kumkashifu mwenzio
Halaf kuna watu wamelike huo upuuz hivi mnaotukanaga wenzenu wabaya nyie kwenu wazuri??
dada zangu niwarembo hatari😅
 
Back
Top Bottom