Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,498
- 31,850
Watu wazima ovyoo mnaona wivu na mtaona sana na kama matusi mnayo basi fungueni kijiwe muwe mnapeana notes ila kuachwa siachwi ng'o mtabakia kubadili ID muwe mashoga , muwe vichaa kazi kupiga ramli kujua maisha ya watu yaone tukaneni muchoke atabikia kuitwa .
Honey
Pokeeni vichamboo vyenu msiojielewa .
Eti maziwa kama ndala zako umezilaza wewe kazi umbeya .
Mwanaume unatoka utokako eti unamchamba usiye mjua na eti unang'ang'ana hadi basi.
Kaa Kwa tulia sindano ikuingie bibie au jike dume , paka shume .
Sura haieleweki which is which au what .
Nlizungumza hapa nikaelezea kila kitu.
Bila JF ningekuwa nimeshajinyonga zamani au kufa kwa Stress na upweke
Naona unataja unaoona wanafaa...😂 Kausha baba kausha mwanangu🤣😋