GE2025 Wanaompongeza Samia, waambatanishe na picha hizi

GE2025 Wanaompongeza Samia, waambatanishe na picha hizi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,700
Reaction score
59,210
Ni dhahili bila shaka, wale wote wanaompongeza rais Samia, au wanaofurahia ushindi wa Samia, Wasiacha kutembea na picha hizi vifuani mwao.

Furaha ipo wapi?

Je, Mtahudhuria mazishi au mtaacha waliwe na kunguru? Nini kosa la hwa watoto?

Naamini sasa mtakula na kula kwa furaha..

Binadamu njia yetu ni moja. Hata ukituua hautatumaliza. Utakufa utaacha vitukuu vyetu vikitetea haki zao. Wadai haki hakuna mwenye uwezo wa kuwateketeza
FB_IMG_1762102071801.jpg
FB_IMG_1762102074129.jpg
FB_IMG_1762102076610.jpg
 
Picha ya katikati hapo juu ni vijana wa Mwanza kati ya miaka 7 na 15. Nani kama mama kwenye ukatili. Mitano tena ya mauaji, ufisadi, ufiraji, utekaji na utesaji.

Mama anaupiga mwingi kwa kuua watoto wa Tanganyika.
 
Ni dhahili bila shaka, wale wote wanaompongeza rais Samia, au wanaofurahia ushindi wa Samia, Wasiacha kutembea na picha hizi vifuani mwao.

Furaha ipo wapi?

Je, Mtahudhuria mazishi au mtaacha waliwe na kunguru? Nini kosa la hwa watoto?

Naamini sasa mtakula na kula kwa furaha..

Binadamu njia yetu ni moja. Hata ukituua hautatumaliza. Utakufa utaacha vitukuu vyetu vikitetea haki zao. Wadai haki hakuna mwenye uwezo wa kuwateketeza
View attachment 3496592View attachment 3496593View attachment 3496594
90% ni wanafique wakubwa
 
Picha ya katikati hapo juu ni vijana wa Mwanza kati ya miaka 7 na 15. Nani kama mama kwenye ukatili. Mitano tena ya mauaji, ufisadi, ufiraji, utekaji na utesaji.

Mama anaupiga mwingi kwa kuua watoto wa Tanganyika.
Duh,
Ni huzuni mno,

Nimeona chawa Lucas Mwashambwa bila aibu anasema huyo mama ni mtetezi wa wanyonge na amewafikia!!
👇
Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Duh,
Ni huzuni mno,

Nimeona chawa Lucas Mwashambwa bila aibu anasema huyo mama ni mtetezi wa wanyonge na amewafikia!!
👇
Hili ni kundi la machawa linakula kwa
kusifia kila uhuni, ufisadi, utekaji, uresaji,ufiraji, mauaji, maovu yote wanachofanya wahuni.

Tanzania mpya itakomesha wahuni, wasaliti, waganga njaa na machawa wao kama huyu, mwijaku, Steve Nyerere na wenzao kulipwa kodi zetu kukutukana.
 
Nadhani hata abduli akiuawa hivi hatajali.
Hicho ni kitu pekee kwa uhakika kitakachomstua. Kuondolewa madaraka au familia yake binafsi kuathirika.
Kwa sasa hajali kivile bado ni mungu wa Tanzania akilindwa kwa jasho la kodi zetu na wale waliohahidi kulinda katiba ya JMT. Sasa hivi wanamlinda fisadi, muuaji mkuu, kikwazo kikuu cha Watanzania kustawi.
 
Hicho ni kitu pekee kwa uhakika kitakachomstua. Kuondolewa madaraka au familia yake binafsi kuathirika.
Kwa sasa hajali kivile bado ni mungu wa Tanzania akilindwa kwa jasho la kodi zetu na wale waliohahidi kulinda katiba ya JMT. Sasa hivi wanamlinda fisadi, muuaji mkuu, kikwazo kikuu cha Watanzania kustawi.
Atokee mzalendo mmoja PSU arudishe furaha.
 
Atokee mzalendo mmoja PSU arudishe furaha.
Ataishi kwa wasiwasi sana kuanzia sasa. Anajua zaidi ya nusu ya JWTZ, Polisi, usalama hawamtaki. Ni wale wa viongozi wa juu tu waliolamba asali wanamtaka kuendelea ili kulinda mirija ya asali zao.

Hiyo PSU labda ataweka Wazanzibari watupu, Waganda au atalambishwa asali nyingi hadi wavimbiwe. Lakini bado hawezi kuwa na amani.
 
Katiba ni kakijitabu tu
Nilimsikia akiapa kuwa atailinda na kuitetea katiba ya jamuhuri ya kuunganisha wa Tanzania. Huko nyuma alisema “katiba ni kakijitabu tu, kama tuna heshimu vitabu basi tueshimu vitabu vya dini”
 
Back
Top Bottom