Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,374
- 848
Enyi vijana wa CCM MNAOTUMIWA NA WANASIASA wasiojua busara acheni kutukana wazee.
Hao ni waliofaidika na Mfumo ndani ya CCM hawapaswi kuisema CCM na hata ukiwaangalia usoni wanaona aibu.
Enyi vijana wa CCM MNAOTUMIWA NA WANASIASA wasiojua busara acheni kutukana wazee.
Amejidharaurisha mwenyewe kwa kukubali kuuza utu
kila umri unapozidi kuongezeka hata akili inapungua na kama unamfuata kingunge hata ww kunaulakini na Akili yako " hapa Kazi tuuu uzezeta na ulimbukeni peleka ukawa"
hivi baba yako akiwa mzee na akilizake kupungua mtamtukana na kumfananisha na nyumbu? tafadhali nijibu kama ndio au hapana
Baba yangu akifikia hapo nitajitahidi asizungumze sana akaaibika akakaribisha matusi. Basi Kingunge kama kachoka ashauriwe akae kimya. Akiongea upuuzi ulimwengu utamfunza kama mpuuzi mwingine yeyote