Wanaomdharau Kingunge wamekosa adabu

Wanaomdharau Kingunge wamekosa adabu

NAWE PIA

Senior Member
Joined
Sep 11, 2015
Posts
177
Reaction score
13
kumtukana kingunge na kumsema vibaya mzee huyu ambaye ndiye mcng na chimbuko la uhuru wa tanganyika na ndie mmoja ktk wana tanuna ccm , kwa kwel kumtukana ni kumkosea heshma na wanaofanya hvyo wakatubu kwani ni kosa kubwa wanafanya.
 
Enyi vijana wa CCM MNAOTUMIWA NA WANASIASA wasiojua busara acheni kutukana wazee.
 
kila umri unapozidi kuongezeka hata akili inapungua na kama unamfuata kingunge hata ww kunaulakini na Akili yako " hapa Kazi tuuu uzezeta na ulimbukeni peleka ukawa"
 
Mfa maji bwana yaani mrema kumsupor5 magufuli hajazeeka vibaya ila kingunge kutokubaliana na CCM ndo kazeeka vibaya Moja ya vitu vitakavyoimaliza ccm ni laana tu .
 
Wizara ya ujenzi kupiga hela cyo UFISADI ila lowassa ndo fisadi trip hii itafahamika
 
Lancashire nadhani we' sio mwafrika.Elewa kuwa umri wa mzee Kingunge ni zaidi ya umri wa babu yako.
 
kila umri unapozidi kuongezeka hata akili inapungua na kama unamfuata kingunge hata ww kunaulakini na Akili yako " hapa Kazi tuuu uzezeta na ulimbukeni peleka ukawa"
Sijui huyu bwana hafuati ushauri wa wazazi wake kwa vile umri wao unapoongezeka wanakua machizi.na kweli hapa ni kazi tu ya ufisadi.epa,escrow,malipo hewa,uuzwaji kimagumashi nyumba za serkali nk.
 
Unaanzeje kumheshimu fisadi mwizi na tapeli kama kingunge?
 
Sijui huyu bwana hafuati ushauri wa wazazi wake kwa vile umri wao unapoongezeka wanakua machizi.na kweli hapa ni kazi tu ya ufisadi.epa,escrow,malipo hewa,uuzwaji kimagumashi nyumba za serkali nk.
Kwani wewe unadhani kila mzazi anabusara? Mfano kama mzazi wako au kingunge mzazi gani sasa huyo bora usiwe na mzazi tu.
 
Kwani wewe unadhani kila mzazi anabusara? Mfano kama mzazi wako au kingunge mzazi gani sasa huyo bora usiwe na mzazi tu.

Kwa vile kingunge ameitosa ccm?tumeyaona hayo lowasa alivyotoka huko kwenu.mliweka pembeni kashfa zenu lukuki mkaendelea kumuandama lowasa kwa tuhuma ambazo hazina ushahidi.hata hivyo watu wamechoshwa na propaganda zenu.rais ajae ni lowasa.ukawa oyee!
 
Hivi Lowassa angekuwa Waziri wa Ujenzi kwa Miaka 15 angekuwa na Ukwasi kiasi gani? Kapewa Wizara ya Ardhi na Mzee Mwnyi, akakusanya viwanja kadhaa Masaki, kapewa Wizara ya Maji kakusanya Pambu za Maji za Nuwa enzi hizo kapeleka Mo duli na Longido, kapewa Uwaziri Mkuu kaleta Richmond na kama sio mapenzi ya Mungu alikuwa kishaenda Thailand kutuletea Mvua za Mabomu eti zijaze Mabwawa.Jakaya tunashukuru sana kwa ujasiri wa kuondoka na Wanamtandao wako, Lowassa Richmo d, Kingunge Ubungo Bus terminal, Membe pesa za gadafi, Masha Mradi wa Vitambulisho, Mama yetu na Wama yake, Ridh na Ugavi wa sembe, Rostam na Epa na Faza house na Escrow, Miaka kumi ya kukodishwa Ikulu wana Mtandao mme prove failure , kubadilisha ngazi ya kupandia juu hakuongezi nguvu wala stamina ya Mpandaji
 
Back
Top Bottom