Ni jembe
Makonda oyeeeeee
Wale waliotaka kumhojo walikuwa na maafisa wa chini yake. Ulitaka ahojiwe na ma junior wake?Kumbe hakuvamia clouds? Alienda kufanyaje na wale polisi wake? Halafu mbona alipopewa nafasi ya kujieleza alikimbia na kukataa kujieleza?
Kwani amehakikiwa maan nafac aliyopo sifa KKKWamefukuzwa kazi baada ya uthibitisho kuwa walifoji vyeti. Sasa Mh Makonda nani kathibitisha kuwa alifoji? Mnawasikiliza wapiga dili? Huo ni ubabaishaji!!!
Ndege wanao fanana huruka pamoja..[emoji129]Mahakama ipo unasubil nini kwenda kutoa ushahidi Wa cheti ?
Wale waliotaka kumhojo walikuwa na maafisa wa chini yake. Ulitaka ahojiwe na ma junior wake?
Kwani wewe huna mapungufu?Makonda tulimchukia tokea akiwa UVCCM. tena tulisema sana mapungufu yake na jinsi alivyofoji elimu yake. sema alikuwa hajafahamika sana watu walikuwa wanapotezea tu. Makonda tulimchukia zaidi alipompiga mzee wetu jaji Joseph Warioba
Mkolomije, mmisungwi msukuma mwenzie. Kijiji kimoja wamezaliwa. Uliyetoka naye kijiji kimoja anakujua into details kuliko wewe uliyekutana naye Kariakoo na kukuona Luningani. Mimi tangu nimehakikishiwa anatumia Cheti kisicho chake na kujipatia Fame nimeacha kumshabikia. Nikikumbuka mama yangu hana kazi tena kwa kutumikia Cheti kisicho chake kazini.Gwajima ndio nani kwani? Si umeona. Kwenye uzi wangu nimeshasema....mnafuata mkumbo tu....
Nadra sana mwanamke kma kuto kunuka KNi mchapa kazi
Kiongozi jembe
Makonda oyeeeeee
Hachukiwi na mtu tatizo kauli zake ,mi mwenyewe simpendi,na hujiulizi namchukia kwa lipi hasa,kwani hakuna anaemlisha mwenzake,tatizo kauli zake tu ,akijirekebisha hapo atakuwa kiongozi mzuri Kama wengine
Hivi housegirl kwa vile umemzoesha kusafisha vyombo na kupanga kabatini siku akiweka vyombo jalalani atakuwa hajakosea kwa kuwa siku zote anafanya vizuri? kwani mshahara wa mkuu wa mkoa pamoja na marupurupu kibao ni kwa ajili ya kufanya makosa au kufanya yaliyo mema. Kwa mtazamo wangu jamii inategemea mema kutoka kwake akikosea atasemwa sana kwa kuwa hakutarajiwa kufanya hivyo, mbona trafik barabarani hawakamati kila mtu mpaka uwe na kosa huulizi kwamba siku zote umekuwa huna makosa?Wengi walikuwa wanamsifia sana Paul Makonda.Ila baada ya vita ya dawa za kulevya kutowaacha salama vipenzi vyao wengi walibadili upepo.Si unawajua watanzania lakini??