Habari zenu leo tumefanya written kwa post za AFISA USTAWI na watu tulikuwa si chini ya 900 wakasema majibu ya written yatatoka kesho jioni au j3 asubuhi, je hawa jamaa wanaangalia vigezo gani kwenye usahihishaji? maana pepa ni nyingi kutokana na idadi ya watu bt wanasema majibu kesho au kesho kutwa.
==============
Ndugu wana jamvi Utumishi wametoa majina kwa kada mbali mbali katika usaili kama ifuatavyo kwenye tangazo hapa chini:
==============
Ndugu wana jamvi Utumishi wametoa majina kwa kada mbali mbali katika usaili kama ifuatavyo kwenye tangazo hapa chini: