Wanaoisema vibaya serikali mitandaoni kukiona

Wanaoisema vibaya serikali mitandaoni kukiona

ok, Huyu Masauni anafahamu katiba ya Jamhuri ya muungano au anatumia katiba ya Zanzibar?

Mwambieni Masauni alikuwepo Ole Sabaya na Ally Happy wao waliapa kiwashughulia viongozi na Raia yeyote anayemsema Rais wa wakati huo vibaya, Ally Happy alienda mbali na kusema Yeye ni mtu hatari, Sasa Leo uhatari wake akafanyie huko Ukraine au Afaghanstan

Mwambieni Masauni watu hatari na wenye vitisho wanahitajika huko na Putin wakapigane mstari wa mbele dollar 7000 na mstari wa nyuma dollar 3500, Kama hana jipya kwenye uongozi apishe watu Wengine asitake kufunga watu midomo ya kuongea na Kutengeneza Taifa linalogawanyika

Mwambieni huku bara katiba inaruhusu watu kuongea wanachotaka bali wasivunje sheria, Mwambieni Zanzibar watu wa huku bara wanatubania ardhi ya kujenga

Mwambie Masauni kuna mambo ya msingi ya kuelimisha watu wake kama PGO, Atumie muda kuwaelekeza watu wake mambo ya PGO na kutenda haki

Mwambieni Masauni awe anasikiliza kauli za Rais kuwa Jeshi la polisi lishughulike na mambo yake ya msingi wasitoke kwenye lengo la kuanzisha Jeshi la polisi


Hivi watu bado hawakujifunza awamu ya tano ya JPM kuwa haya mambo yalitengeneza chuki mpaka kwa mara ya kwanza watanzania wakaanza kufurahia vifo vya viongozi wa kisiasa

Hapa JF tu watu walitoa kauli za kuombea Viongozi wafe kwa korona. Na viongozi waliokufa watu walishangilia

Angekuwa mkristu masauni ningesema kwanini Wagalatia mna roho ngumu na mmeweka pamba masikioni

Sasa huyu ustadh Masauni ameshaanza kupandisha mabega tena, Naona Masauni Mabega yameanza kupanda sasa

Tumkumbushe masauni alikuwepo Kangi Lugola yeye alivaa mpaka bendera ya Taifa na alitembea na ilani mitaani kama anaeneza injili

Hiyo wizara Kangi Lugola alishona suti zenye Rangi ya bendera ya Taifa

Ni muhimu viongozi wakakumbuka nchi imepita wakati gani

Hawa watu mambo yakiwa magumu wanaanza kuwalilia viongozi wa dini wawashauri wananchi

Masauni aache viongozi wa dini wapumzike, Tumechoka na makongamano ya Amani kila wakati na upatanisho wa kisiasa

Rais alishasema watu waongee, Yeye ameshajisahau anaingilia mamlaka ya Rais

Mwambieni Masauni mabega hayakuzidi kichwa

Mwambieni Masauni Ally Happy aliapa atawafundisha adabu akina Jakaya Kikwete na wastaafu kisa walitoa maoni yao kuhusu maoni hayapigwi Lungu

Mawaziri mjikite kwenye mambo ya msingi yenye kuleta mabadiliko, Mambo ya kufukuzana na watu wanaotoa maoni hasi kama Panya Buku huko Twitter, Clubhouse, Facebook sio lengo la Rais Samia

Kangi Lugola alitumia miaka yote kumfukuzia Kigogo wa Twitter haya sasa kigogo huyo huyo Leo ni mwana ccm kuliko Kangi Lugola, Maoni hayapigwi Lungu( By Jakaya Kikwete)

Mwambieni Masauni tunahitaji gharama alizotumia Kangi Lugola kumtafuta Kigogo wa Twitter,

Watu Wanalalamika tozo, Masauni anaongelea kuingia gharama za kuweka mifumo ya watu wanaomtania na kumsema Rais Samia

Mwambieni Masauni asitumie tozo za wananchi kwa mambo ya utani, kejeli na masihara mtandaoni ya wananchi kwa Rais wao

Hahaha duh

Ulikuwa na kinyongo nae, ulikuwa unamsubiri aanze tu
 
Nimalizie tu kumkumbusha huyo masauni kuwa kuchamba kwingi atatoka na choo mikononi kama kingi
 
Yaani hata mkimiliki magari ya kifahari mnayoyanunus kwa kodi zetu tusiseme nyie ni wabaya?

Nasema sasa serikali ya awamu ya 6 ina wezi wengi kuliko awamu zote zilizopita!

Masauni wakamate hao wapigaji kama kweli wewe ni mzalendo.
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni , amewaonya wale wote wanaoisema vibaya serikali ya awamu ya 6 Mitandaoni , ambapo ameliomba jeshi la Polisi kuimarisha mifumo yake (ya utambuzii) kwa kushirikiana mamlaka zingine ili kukomesha jambo hilo .

Mh Masauni amesema wanazo Taarifa kwamba kuna watu wameandaana makundi ya vijana waliopewa kazi ya kutukana serikali mitandaoni .

Mh Waziri ameyasema hayo wakati wa kumkaribisha Mh Rais Samia Suluhu Hassan ili kufungua Kikao cha viongozi wa Polisi Mkoani Kilimanjaro .

Kazi Iendeleeee .
Chawa sugu wa mwendazake ndiyo wanao mzingua mama ,.
Washughulikiwe very soon.
 
Hivi ni serikali gani ile popote pale hapa duniani isiyoweza kukosolewa, kusemwa vibaya na hata kutukanwa mitandaoni, ama hata kwa kificho ama bayana!? Serikali yetu inapaswa kuwa na ngozi ngumu kutokana na mazuri na maumivu ya demokrasia na wana demokrasia.

Mh. Masauni asitake kumfurahisha aliyemteua kwa gharama ya kuziba midomo ya wapenda mabadiliko. Watu wanalipa kodi na maduhuli mengine ya serikali, wanatoa michango ya hali na mali kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao.

Kwa hiyo ni haki yao kupaza sauti pale wanapoona mambo hayaendi vyema. Kutaka kuwaziba midomo ama kunyamazisha sauti zao za maumivu ni ushamba wa kiwango cha juu sana.
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni , amewaonya wale wote wanaoisema vibaya serikali ya awamu ya 6 Mitandaoni , ambapo ameliomba jeshi la Polisi kuimarisha mifumo yake (ya utambuzii) kwa kushirikiana mamlaka zingine ili kukomesha jambo hilo .

Mh Masauni amesema wanazo Taarifa kwamba kuna watu wameandaana makundi ya vijana waliopewa kazi ya kutukana serikali mitandaoni .

Mh Waziri ameyasema hayo wakati wa kumkaribisha Mh Rais Samia Suluhu Hassan ili kufungua Kikao cha viongozi wa Polisi Mkoani Kilimanjaro .

Kazi Iendeleeee .
Mkuu hii ni serikali ya awamu ya 5
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni , amewaonya wale wote wanaoisema vibaya serikali ya awamu ya 6 Mitandaoni , ambapo ameliomba jeshi la Polisi kuimarisha mifumo yake (ya utambuzii) kwa kushirikiana mamlaka zingine ili kukomesha jambo hilo .

Mh Masauni amesema wanazo Taarifa kwamba kuna watu wameandaana makundi ya vijana waliopewa kazi ya kutukana serikali mitandaoni .

Mh Waziri ameyasema hayo wakati wa kumkaribisha Mh Rais Samia Suluhu Hassan ili kufungua Kikao cha viongozi wa Polisi Mkoani Kilimanjaro .

Kazi Iendeleeee .
Kuisema Wacha waiseme.ila wazushi na wapotoshaji washikwishe adabu Ili kukopesha huu upuuzi..

Tumeshauri mara nyingi mjinga sio wa kumpa nafasi ya kuropoka hakuna kitu utafanya.
 
ok, Huyu Masauni anafahamu katiba ya Jamhuri ya muungano au anatumia katiba ya Zanzibar?

Mwambieni Masauni alikuwepo Ole Sabaya na Ally Happy wao waliapa kiwashughulia viongozi na Raia yeyote anayemsema Rais wa wakati huo vibaya, Ally Happy alienda mbali na kusema Yeye ni mtu hatari, Sasa Leo uhatari wake akafanyie huko Ukraine au Afaghanstan

Mwambieni Masauni watu hatari na wenye vitisho wanahitajika huko na Putin wakapigane mstari wa mbele dollar 7000 na mstari wa nyuma dollar 3500, Kama hana jipya kwenye uongozi apishe watu Wengine asitake kufunga watu midomo ya kuongea na Kutengeneza Taifa linalogawanyika

Mwambieni huku bara katiba inaruhusu watu kuongea wanachotaka bali wasivunje sheria, Mwambieni Zanzibar watu wa huku bara wanatubania ardhi ya kujenga

Mwambie Masauni kuna mambo ya msingi ya kuelimisha watu wake kama PGO, Atumie muda kuwaelekeza watu wake mambo ya PGO na kutenda haki

Mwambieni Masauni awe anasikiliza kauli za Rais kuwa Jeshi la polisi lishughulike na mambo yake ya msingi wasitoke kwenye lengo la kuanzisha Jeshi la polisi


Hivi watu bado hawakujifunza awamu ya tano ya JPM kuwa haya mambo yalitengeneza chuki mpaka kwa mara ya kwanza watanzania wakaanza kufurahia vifo vya viongozi wa kisiasa

Hapa JF tu watu walitoa kauli za kuombea Viongozi wafe kwa korona. Na viongozi waliokufa watu walishangilia

Angekuwa mkristu masauni ningesema kwanini Wagalatia mna roho ngumu na mmeweka pamba masikioni

Sasa huyu ustadh Masauni ameshaanza kupandisha mabega tena, Naona Masauni Mabega yameanza kupanda sasa

Tumkumbushe masauni alikuwepo Kangi Lugola yeye alivaa mpaka bendera ya Taifa na alitembea na ilani mitaani kama anaeneza injili

Hiyo wizara Kangi Lugola alishona suti zenye Rangi ya bendera ya Taifa

Ni muhimu viongozi wakakumbuka nchi imepita wakati gani

Hawa watu mambo yakiwa magumu wanaanza kuwalilia viongozi wa dini wawashauri wananchi

Masauni aache viongozi wa dini wapumzike, Tumechoka na makongamano ya Amani kila wakati na upatanisho wa kisiasa

Rais alishasema watu waongee, Yeye ameshajisahau anaingilia mamlaka ya Rais

Mwambieni Masauni mabega hayakuzidi kichwa

Mwambieni Masauni Ally Happy aliapa atawafundisha adabu akina Jakaya Kikwete na wastaafu kisa walitoa maoni yao kuhusu maoni hayapigwi Lungu

Mawaziri mjikite kwenye mambo ya msingi yenye kuleta mabadiliko, Mambo ya kufukuzana na watu wanaotoa maoni hasi kama Panya Buku huko Twitter, Clubhouse, Facebook sio lengo la Rais Samia

Kangi Lugola alitumia miaka yote kumfukuzia Kigogo wa Twitter haya sasa kigogo huyo huyo Leo ni mwana ccm kuliko Kangi Lugola, Maoni hayapigwi Lungu( By Jakaya Kikwete)

Mwambieni Masauni tunahitaji gharama alizotumia Kangi Lugola kumtafuta Kigogo wa Twitter,

Watu Wanalalamika tozo, Masauni anaongelea kuingia gharama za kuweka mifumo ya watu wanaomtania na kumsema Rais Samia

Mwambieni Masauni asitumie tozo za wananchi kwa mambo ya utani, kejeli na masihara mtandaoni ya wananchi kwa Rais wao

Kwani mmelazimishwa kuungana na Zanzibar? Vunjeni huo muungano wenu kama mnakerwa sana nyie machogo.
 
ok, Huyu Masauni anafahamu katiba ya Jamhuri ya muungano au anatumia katiba ya Zanzibar?

Mwambieni Masauni alikuwepo Ole Sabaya na Ally Happy wao waliapa kiwashughulia viongozi na Raia yeyote anayemsema Rais wa wakati huo vibaya, Ally Happy alienda mbali na kusema Yeye ni mtu hatari, Sasa Leo uhatari wake akafanyie huko Ukraine au Afaghanstan

Mwambieni Masauni watu hatari na wenye vitisho wanahitajika huko na Putin wakapigane mstari wa mbele dollar 7000 na mstari wa nyuma dollar 3500, Kama hana jipya kwenye uongozi apishe watu Wengine asitake kufunga watu midomo ya kuongea na Kutengeneza Taifa linalogawanyika

Mwambieni huku bara katiba inaruhusu watu kuongea wanachotaka bali wasivunje sheria, Mwambieni Zanzibar watu wa huku bara wanatubania ardhi ya kujenga

Mwambie Masauni kuna mambo ya msingi ya kuelimisha watu wake kama PGO, Atumie muda kuwaelekeza watu wake mambo ya PGO na kutenda haki

Mwambieni Masauni awe anasikiliza kauli za Rais kuwa Jeshi la polisi lishughulike na mambo yake ya msingi wasitoke kwenye lengo la kuanzisha Jeshi la polisi


Hivi watu bado hawakujifunza awamu ya tano ya JPM kuwa haya mambo yalitengeneza chuki mpaka kwa mara ya kwanza watanzania wakaanza kufurahia vifo vya viongozi wa kisiasa

Hapa JF tu watu walitoa kauli za kuombea Viongozi wafe kwa korona. Na viongozi waliokufa watu walishangilia

Angekuwa mkristu masauni ningesema kwanini Wagalatia mna roho ngumu na mmeweka pamba masikioni

Sasa huyu ustadh Masauni ameshaanza kupandisha mabega tena, Naona Masauni Mabega yameanza kupanda sasa

Tumkumbushe masauni alikuwepo Kangi Lugola yeye alivaa mpaka bendera ya Taifa na alitembea na ilani mitaani kama anaeneza injili

Hiyo wizara Kangi Lugola alishona suti zenye Rangi ya bendera ya Taifa

Ni muhimu viongozi wakakumbuka nchi imepita wakati gani

Hawa watu mambo yakiwa magumu wanaanza kuwalilia viongozi wa dini wawashauri wananchi

Masauni aache viongozi wa dini wapumzike, Tumechoka na makongamano ya Amani kila wakati na upatanisho wa kisiasa

Rais alishasema watu waongee, Yeye ameshajisahau anaingilia mamlaka ya Rais

Mwambieni Masauni mabega hayakuzidi kichwa

Mwambieni Masauni Ally Happy aliapa atawafundisha adabu akina Jakaya Kikwete na wastaafu kisa walitoa maoni yao kuhusu maoni hayapigwi Lungu

Mawaziri mjikite kwenye mambo ya msingi yenye kuleta mabadiliko, Mambo ya kufukuzana na watu wanaotoa maoni hasi kama Panya Buku huko Twitter, Clubhouse, Facebook sio lengo la Rais Samia

Kangi Lugola alitumia miaka yote kumfukuzia Kigogo wa Twitter haya sasa kigogo huyo huyo Leo ni mwana ccm kuliko Kangi Lugola, Maoni hayapigwi Lungu( By Jakaya Kikwete)

Mwambieni Masauni tunahitaji gharama alizotumia Kangi Lugola kumtafuta Kigogo wa Twitter,

Watu Wanalalamika tozo, Masauni anaongelea kuingia gharama za kuweka mifumo ya watu wanaomtania na kumsema Rais Samia

Mwambieni Masauni asitumie tozo za wananchi kwa mambo ya utani, kejeli na masihara mtandaoni ya wananchi kwa Rais wao

Aaisee nimekukubali mzee nimekubaliiiiiiiiiii uko vzuri sana mzee umechapa nondo gazeti lakin nondo za kwenye mshono tupu
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni , amewaonya wale wote wanaoisema vibaya serikali ya awamu ya 6 Mitandaoni , ambapo ameliomba jeshi la Polisi kuimarisha mifumo yake (ya utambuzii) kwa kushirikiana mamlaka zingine ili kukomesha jambo hilo .

Mh Masauni amesema wanazo Taarifa kwamba kuna watu wameandaana makundi ya vijana waliopewa kazi ya kutukana serikali mitandaoni .

Mh Waziri ameyasema hayo wakati wa kumkaribisha Mh Rais Samia Suluhu Hassan ili kufungua Kikao cha viongozi wa Polisi Mkoani Kilimanjaro .

Kazi Iendeleeee .
Kwa hiyo masauni anataka kumfurahisha Mama au katumwa na Mama aseme hayo?
 
Back
Top Bottom