The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Wakuu heshima kwenu..
Nimepangwa kazi kwenye halmashauri tajwa hapo juu, sijawahi kabisa kufika maeneo hayo, naombeni wale wenyeji hasa wanaoifahamu Korogwe mjini wanipe changamoto zake.
Uzuri/ubaya wake, Hali ya kiuchumi/kimaisha hapo korogwe mjini, nature ya watu wa Korogwe, na vitu kama hivyo....
natanguliza shukrani za dhati...
The Magnificent.
Nimepangwa kazi kwenye halmashauri tajwa hapo juu, sijawahi kabisa kufika maeneo hayo, naombeni wale wenyeji hasa wanaoifahamu Korogwe mjini wanipe changamoto zake.
Uzuri/ubaya wake, Hali ya kiuchumi/kimaisha hapo korogwe mjini, nature ya watu wa Korogwe, na vitu kama hivyo....
natanguliza shukrani za dhati...
The Magnificent.