Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

Sorry battery D620 Mpyaaa! Warranty
1 month. Terms and Conditions Apply!!
 
Used Inspiron Hamna.

Inspiron N5050
1.6 Duocore
2 GB DDR3
320GB
Webcam
DVD RW
1 year Warranty
 
mkuu,mzarau mwiba mguu huota tende,sisi hatuna chuki na mtu,nenda huko kote fanya utafiti wa bei na ubora wa bidhaa then njoo ufananishe na za kwetu.biashara ni kuuza na kununuliana.
karibu sana uhuru computers.

nikumegee kidogo tu,hao raam wanatumia jina letu kurubuni wateja wetu wakijifanya nao ni uhuru,sisi tuko serious na huduma zetu mkuu.


vp kuhusu easy it, ni duka lenu pia...
 
natafuta hp photosmart c510a or 7510 or 6510,mnazo?n watz iz price?
 
Mie nimetoka huko,nimeona bidhaa Zao,ni nzuri na bei zao ni affadable,nimejibebea laptop moja ya bei ya kutupa!
 
wewe pia ni wa kwetu kwani shida yako ni nini.


shida yangu ni kujua kama ni mawakala wenu au ni duka lenu pia cz nataka kuingia nao mkataba wa kuuza flash za adata, so nimeshtuka coz mmesema nyie ndo wauzazi/wasambazaji wakuu wa flash za adata hapa tz
 
Hatuna Hizi Mkuu, Zilizopo

1. Desk Jet 2050A 85,000/- hii ni 3 in 1
2. Laser p1102 200,000/-
 
Nahitaji battery ya laptop ya Dell Vostro aina ya T112c au T114c au T116c ambayo ni original je naweza kupata? na kama naweza kupata bei yake ni kiasi gani?
 
Sisi hatuhusiani na Easy IT !

Ila ni majirani wema fanya nao tu!!!

We love Easy It , Mchina atakusupport
Sana Mkuu.
 
Please try @ Dell service Center @
Swiss Tower! We are out of stock boss.

Sorry
 
Please try @ Dell service Center @
Swiss Tower! We are out of stock boss.

Sorry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom