Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
- #61
Hapo number 1 & 2 ipi tofauti yake?
mkuu namba 2 ni 8 GB.Asante na karibu sana.
Hapo number 1 & 2 ipi tofauti yake?
Inauma na Uhuru, wekeni vizuri parameter zenu na bei hata kama kwa Dola au Euro huku mkiweka maelezo kuwa mtu atalipa kwa Tsh akija hapo. Ila bei itategemea na thamani ya Tsh kwa siku hiyo.
Ninamwamini sana mtu anayeweka bei kabisa maana ninapotoka nyumbani nakuwa nimejiandaa nije walau niangalie au nisije kabisa. Kwa kuweka baadhi ya bei, inanipa nguvu ya kufika. Endeleeni na hilo kwani nalo linapunguza kuonekana "Waswahili".
Ila wanasema Mkono huosha mkono mwingine.
Msisahau kuwa Jamiiforums nayo inahitaji kamchango kidogo mara moja moja. Labda kama kuna malipo mlifanya.
Ila hii ni kuwakumbusha hata Wanunuzi kuwa JF inachangiwa, tusiisahau bandugu.
Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/22767-changia-jf-mkono-mtupu-haulambwi.html
Mwanza mpo sehem gan..yaan watu wa mikoan wamesahaulka dar is everything...je mnajua ni maana ya capital transfer?
mkuu,pale mwanza tuna wakala wetu anaitwa lake zone computers,yupo mtaa wa miti mirefu mkabala na mohamed trans...,frem za shule ya sekondary pamba chumba no.E...mpigie Wales simu no 0718029495.
Acer veriton desktop with flat 17 inch
3.0 ht 1gb ddr3 160gb combo
price including delivery 320,000/=View attachment 50964