Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

HP 635 hatuna tena, pls call 0658000860. For stock assistance

I
 
Nyinyi maneno mengi mdomoni hamna lolote. Mkipigiwa simu mnazingua tu!

halafu hawa wasomali ni wapuuzi sana promo nyingi halafu wana vikompyuta vya kijinga na vya kizamani. Wanauza cpmtr zilizochoka na nyingi ni za storage ndogo ndo wamezijaza hapo dukani kwao za 40gb
 
Hi, Ahsanteni.

Nimepokea Laptop Mpyaa Ya Samsung hapa Arusha, kwa sh. 585,000/= Na Usafirishaji 20,000/= Via Kilimanjaro Bus
Hiyo laptop hapa jamaa wanaiuza sh. 850,000/= Wizi mtupu Asanteni Uhuru Computers ahsante JF.
 
Kuna mtu kaniomba Nitoe specs wa hapa A Town ya hii Samsung,
1.5 Intel Celeron 2gb ddr3 320gb ,Webcam na DVDRW .
 
wabongo msidanganyike hawa ni ALSHABAB waliokubuhu , kuanzia RAAM, H.M ABDUL, UHURU na matawi yao wote ni wezi na wauza product feki.... hizi nyingine ndio hizo za meli zinazotekwa huko na wasomali ukubali ukatae ukweli ndio huo. full miyeyusho hawa jamaaaa wanadai wanatoa warranty ni uongo mtupu. jaribu uliwe
 
wezi hawa nawajua sana pale kkoo....waliniuzia laptop inazingua battery...niliporudi nimepigwa danadana mpaka nikaona nazidi kupata hasara ya mafuta yangu na kupoteza mda wa kukaa kwenye foleni...ss hv naitumia kama desktop tanesco wakizingua na yenyewe chali...wezi tu nyie alshabab...
 
Kuna jamaa yuko pale uhuru computers msomali, ana upara, mweupe anawaharibia biashara. Ni tapeli na mwongo sana yule jamaa. Bora wale akina dada ni wakweli sana.
 
ninauza dell desktop computer (saizi ndogo) kwa anayehitaji anitafute kwa 0755965329 au 0717397455

spec. Dual core processor @3ghz
1gb ram, 80hdd with 17inch flat screen
dvd rewritable
bei sh 250000
 
wezi hawa nawajua sana pale kkoo....waliniuzia laptop inazingua battery...niliporudi nimepigwa danadana mpaka nikaona nazidi kupata hasara ya mafuta yangu na kupoteza mda wa kukaa kwenye foleni...ss hv naitumia kama desktop tanesco wakizingua na yenyewe chali...wezi tu nyie alshabab...
Pole sana mkuu
 
Alshabab bongo at! Mbona kaz nlikua cjui kumbe hawa uhuru ko ndo maspons cwez kununua tena na hata kwa bule khaa
 
Mkuu Mwanajamii, vijana wa duka lenu la Dodoma hawajui customer care kabisa! Wamegeuza kijiwe cha soga na vijana wengine wasiohusika!

Pia chumba ni kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom