Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

Wanaohitaji laptops na desktops flat screen brand new na used

Mwaga specs na urefu wa bei kama una iMAC au MacBook Pro au MacBook Air.
 
[TABLE="class: cms_table_MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 680"]HP PAVILION 2000 2.13 DUOCORE 3GB DDR3 320GB WEBCAMERA WIFI BLUETOOTH DVD/RW WINDOW7

naomba kufahamishwa ni original au za wachina na nikja na 700000/= inanunulika?
[/TD]
[TD="width: 125"]765,000/=


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hizo bei ni fixed HP hiyo ni from USA but made in china.

HP wanakupa warranty 1 year

Bei haipungui karibu
 
Hatuna sasa after 2 to 3 weeks will have MacBook Pro
 
[TABLE="class: cms_table_MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 680"]HP PAVILION 2000 2.13 DUOCORE 3GB DDR3 320GB WEBCAMERA WIFI BLUETOOTH DVD/RW WINDOW7

naomba kufahamishwa ni original au za wachina na nikja na 700000/= inanunulika?
[/TD]
[TD="width: 125"]765,000/=


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Bei haipungui hii ni original HP and all hp za sasa are produced in China!!
 
Duka lenu bado changa sana watanzania nawashauri muende pembeni yao pale kunaitwa universal computer na ndio msomali mkubwa hapa bongo kwa kuuza komputa anaitwa raam hata hao uhuru wanachukua kwa raaam

kuna kaale anaiuza rahisi sana kuna zakaria computa naye anauza rahisi mnoooooooooooooooooooooooo

Tupe anuani kamili ya hao wauzaji mbadala. Muhimu ni tupate kitu kizuri kwa bei nzuri.
 
Mkuu hebu fafanua hiyo nyekundu.

Afafanue nini tena mkuu, ina maana haujaelewa?
Au umekaririshwa kuwa bidhaa za China hazifai? zaidi ya asilimia 80 ya hizi bidhaa za kielektroniki zinatengenezwa china, hata iPhone anayotumia Obama imetengenezwa CHINA! Kama umepewa guarantee ujue bidhaa ni ya kuaminika,USIOGOPE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom