RED BELT
Member
- Oct 24, 2022
- 61
- 118
Kuna koki Moja kubwa ya mafuta pale bandarini huwa nasikia hii koki Kila siku inaharibika na kikoki muhimu katika kukusanya Kodi Kwa upande wa mafuta na ukweli ni kwamba sio kama inaharibika ila Kuna watu wanaiharibu Kwa makusudi Kwa manufaa Yao
Na kuhu storage Kwa kweli ukiwaona wazambia na wamalawi jinsi wanavyoteseka na mizigo Yao kuingia storage utasikitika sana
Yani Kwa Sasa watu wanaotumia bandari yetu ni Kwa sababu tu hawa njia mbadala jinsi wanavyonyanyasika Kwa mipango iliyopangwa na watu Fulani Ili wao wapige pesa
Mtu ameleta mzigo mzigo wake anataka kuutoa system ipo down Hadi mzigo unaingia storage Sasa hapo kosa la nani ?
Wakija DPW haya mambo hayatakuwepo kabisa na wale wazee wa showroom wa kuleta magari 20 alafu wanayaripia 5 tu mengine yanapita bure pia huo upuzi hautakuwepo
Na kuhu storage Kwa kweli ukiwaona wazambia na wamalawi jinsi wanavyoteseka na mizigo Yao kuingia storage utasikitika sana
Yani Kwa Sasa watu wanaotumia bandari yetu ni Kwa sababu tu hawa njia mbadala jinsi wanavyonyanyasika Kwa mipango iliyopangwa na watu Fulani Ili wao wapige pesa
Mtu ameleta mzigo mzigo wake anataka kuutoa system ipo down Hadi mzigo unaingia storage Sasa hapo kosa la nani ?
Wakija DPW haya mambo hayatakuwepo kabisa na wale wazee wa showroom wa kuleta magari 20 alafu wanayaripia 5 tu mengine yanapita bure pia huo upuzi hautakuwepo