kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,309
- 17,845
Kila sehemu sasa, ni mazungumzo ya Bunge na Utovu wa Nidhamu...
Kila mtu anazungumza...
Hata hapa mengi sasa ni kuhusu Bunge..
Wanaoharibu sasa ni kina nani?
A. Spika na Naibu Spika
B. Wabunge wa Upinzani
C. Wabunge wa CCM
D. Wote
Tungepata Poll hapa ingependeza zaidi...
Nchi sasa inalijadili Bunge...
Kila mtu anazungumza...
Hata hapa mengi sasa ni kuhusu Bunge..
Wanaoharibu sasa ni kina nani?
A. Spika na Naibu Spika
B. Wabunge wa Upinzani
C. Wabunge wa CCM
D. Wote
Tungepata Poll hapa ingependeza zaidi...
Nchi sasa inalijadili Bunge...