Wanaofungisha ndoa za mkeka wanapata wapi mamlaka?

Wanaofungisha ndoa za mkeka wanapata wapi mamlaka?

Sasa kama ulikuwa hutaki kuoa unazini na binti wa watu wa nn?hizo ndoa ni halali kwa MUNGU,,,hata kama haitampendeza mwanadamu,,sababu sheria za MUNGU hazipo ktk kumpendeza binadamu....ukimpenda binti wa mtu nenda kwao kajitambulishe uone kama utalazimishwa kuoa kwa nguvu...tena huku kwetu kuna MASHEHE WANAFANYA MAZOEZI KABISA YA PUMZI,,,,hata kama unakimbia ndoa inaendelea huku unafukuzwa,,,SHEHE akimaliza unaletewa mkeo nyumbani.....hata kama ukikimbia
 
Katika Uislaam hakuna kuendekeza uzinifu, kwani tumeambia uzinifu ni uchafu na tusiukaribie.
Sasa waache wamdate dadako na waendelee kumtia kwa chipsi kuku !
Bora ata Mimi awe dada (maana sina)
Wewe mdogo wako wa kiume huko madrasa oustadhi anajifunulia.
 
Bora ata Mimi awe dada (maana sina)
Wewe mdogo wako wa kiume huko madrasa oustadhi anajifunulia.
Kanisani ndoa za jinsia moja zimebarikiwa na maaskofu wanaolewa !
tapatalk_1509282710994.jpeg
 
Mamlaka za Ndoa zipo mbili tu 1 Ndoa ya kimila 2 Ndoa ya serekali. Unapozungumzia Ndoa ya mkeka hiyo ni ya kimila haipo saerekalini hata sheria zake hazihusishi. Ndoa ya serekali ndio inatumia sheria ya nchi na inawapa dhamana ya kufungisha Ndoa hizo wachungaji /mashehe cheti cha Ndoa hutolewa na serekali tu hakuna Mamlaka nyingine kwa tz
 
Mamlaka za Ndoa zipo mbili tu 1 Ndoa ya kimila 2 Ndoa ya serekali. Unapozungumzia Ndoa ya mkeka hiyo ni ya kimila haipo saerekalini hata sheria zake hazihusishi. Ndoa ya serekali ndio inatumia sheria ya nchi na inawapa dhamana ya kufungisha Ndoa hizo wachungaji /mashehe cheti cha Ndoa hutolewa na serekali tu hakuna Mamlaka nyingine kwa tz
Kasome vizuri sheria ya ndoa sio kudanganya watu
 
Back
Top Bottom