Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
308
Reaction score
424
Rais Samia Suluhu amejua kuteka nyonyo za Watanzania.

Eti "Watu wanasombelewa kwa costa kupelekwa Kawe"..Hili sio jambo la aibu hata kidogo ndugu zangu wa Chama cha Mapinduzi, bali kitendo hiki kinaonesha mapenzi makubwa ya CCM kwa wananchi wake.Fikiria, kuna wanachama wakereketwa haswa wako zao chanika huko, wangependa kwenda Kawe kushuhudia ufunguzi wa kampeni zao, wangefanyaje?Hapa chama lazima kiingilie kati, lazima kionesha kwamba kinajali. #OktobaTunatikiSamia #KaziNaUtu
 
Jamani nimeshasema pesa imetembea sana huku mtaani. Jogging clubs zote Dar wamekula pesa . Akina Mama nimeona wanagombania jezi na malupulupu.

Hizo ni pesa za Rostam baada ya kuiba mgodi wa makaa ya mawe na almas
Mkuu mwafrica wake utumwa ndo mana Tiptip hakukosea kutuswaga kama wanyama
 
Eti "Watu wanasombelewa kwa costa kupelekwa Kawe"..Hili sio jambo la aibu hata kidogo ndugu zangu wa Chama cha Mapinduzi, bali kitendo hiki kinaonesha mapenzi makubwa ya CCM kwa wananchi wake.Fikiria, kuna wanachama wakereketwa haswa wako zao chanika huko, wangependa kwenda Kawe kushuhudia ufunguzi wa kampeni zao, wangefanyaje?Hapa chama lazima kiingilie kati, lazima kionesha kwamba kinajali. #OktobaTunatikiSamia #KaziNaUtu
 
Mtaani kwangu imeondoka Kosta wakiongozwa na balozi wa Nyumba KUMI.
Nilikuwa natembea mazoezi asubuhi nakutana na wadau hasa wakina mama wakitafuta usafiri.
Inaonekana wapanga mikakati walijipanga vizuri au Kuna motisha kificho.
 
Magari ni vyombo vya kusaidia wanadamu, vitumike vyema na ipasavyo!, kufika pale mtu anapohitaji, lakini pia ni rukhsa kujiswaga kama ngombe! Kuelekea kule kule mtu apendapo ni suala la khiyari ya nafsi ya Mtu!
 
Jamani nimeshasema pesa imetembea sana huku mtaani. Jogging clubs zote Dar wamekula pesa . Akina Mama nimeona wanagombania jezi na malupulupu.

Hizo ni pesa za Rostam baada ya kuiba mgodi wa makaa ya mawe na almas

Wabongo akili zetu ni kama za michepuko tu mkuu, usiumize kichwa sana, ukiulipa unachagua tu mdomoni, mbele, nyuma au stori tu! Maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom