Wanao jua sumsung original wanisaidie

Wanao jua sumsung original wanisaidie

Ilo Famba mkuu achana nalo...
Kwanza linaonekana limepigwa sana lock

Yaonekana sio maalumu kwa Afrika Mashariki sasa wameliunlock kua makini achana nalo

Iyo yaonekana ilikua inatumika America sasa wameifyatua isome frequency za nyumbani Tanganyika

Kua makini dada angu. Hilo ni Famba. Ukitaka samsung og ...nenda dukani nunua zenye 2 yrs warranty smart cared
mbona wenye fake nao wanatoa warrant ya 2yrs
 
Ilo Famba mkuu achana nalo...
Kwanza linaonekana limepigwa sana lock

Yaonekana sio maalumu kwa Afrika Mashariki sasa wameliunlock kua makini achana nalo

Iyo yaonekana ilikua inatumika America sasa wameifyatua isome frequency za nyumbani Tanganyika

Kua makini dada angu. Hilo ni Famba. Ukitaka samsung og ...nenda dukani nunua zenye 2 yrs warranty smart cared
s5 akipata warranty ya 2 yrs naharisha mpk posta bila kuacha nafasi,
Hio simu sio famba kwa maana ya fake n famba kwa maana sio toleo la africa, n American Telephone & Telegraph (AT&T) kama ulivyosema wameilazmisha itumike zone ya africa kitu ambacho n risk at anytime
Hapo matakon kwenye tundu ya chaji kama sipaelewi,anyway kama umeipenda mwaga fweza
Na hapo ndo panaitofautisha samsung s5 OG na fake, hio n Micro Usb port v3.0 (fast charge), pia panatakiwa pawe na kijimfuniko cha plastic and rubber kwa ajili ya water resistance hapo inaonesha kilikuwepo kikakatka, ikumbukwe s5 n IP67, kitu kngne unachotakiwa uangalie kwa nje kujua s5 n OG au fake n hio mistal ya aluminium huku pembezon kwenye flame, inatakiwa iwe mitatu kama hapo, mmoja juu, mmoja chini na mwingne mkubwa katkat ukiwa na MIC,, kwa fake inakuaga pungufu au zaid na size tofaut tofaut au sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom