Wanao jua sumsung original wanisaidie

Wanao jua sumsung original wanisaidie

bill Shnky

Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
65
Reaction score
37
Naamin kuna watu mashujaa wakujua simu hasa samsung ata kwa kuziangalia kwa picha. Ivi hi simu ni og au vip wakuu mana nataka kuinunua but nko mbali nimetumiwa pic .tafadhali msaada wenu wataalam
IMG-20181001-WA0000.jpeg
View attachment 883267
IMG-20181001-WA0003.jpeg
 
Hiyo ni yenyewe s5 hiyo wala usiwaze labda iwe na tatizo lingine
Poa mkuu nimekupata
originally hyo mwaga mpunga braza
Ilo Famba mkuu achana nalo...
Kwanza linaonekana limepigwa sana lock

Yaonekana sio maalumu kwa Afrika Mashariki sasa wameliunlock kua makini achana nalo

Iyo yaonekana ilikua inatumika America sasa wameifyatua isome frequency za nyumbani Tanganyika

Kua makini dada angu. Hilo ni Famba. Ukitaka samsung og ...nenda dukani nunua zenye 2 yrs warranty smart cared
 
Ilo Famba mkuu achana nalo...
Kwanza linaonekana limepigwa sana lock

Yaonekana sio maalumu kwa Afrika Mashariki sasa wameliunlock kua makini achana nalo

Iyo yaonekana ilikua inatumika America sasa wameifyatua isome frequency za nyumbani Tanganyika

Kua makini dada angu. Hilo ni Famba. Ukitaka samsung og ...nenda dukani nunua zenye 2 yrs warranty smart cared
Mim dada kiaje jamaa
 
Hapo matakon kwenye tundu ya chaji kama sipaelewi,anyway kama umeipenda mwaga fweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom