mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,468
Fame and success does not come easly as you think. Umaarufu una mengi.
najua na sipingi ila sio nadharia unazotoa hapa!
nyi ndo wale mtu akifanikiwa mnaanza kumuhusisha na freemason! wakati hakuna hata mtu anaeijua hyo freemason na namna wanavooperate!
kwahyo usidanganye watu hapa! watu wengi na wasanii hao huko nchi za wenzetu washastuka wanaishi kwa kufata laws of nature wanazitumia in positive impact, wanatafuta madini na wanafanya mapaka meditation nk ili tu wafanikiwe, ila nyie hapa mnadanganyana sijui wanauza roho na bla bla za kipumbavu! si ajabu watanzania wengi hatuendelei!
kwanza hata huyo devil/satan/lucifer sio shetani kama shetani! ni akili za watu tu zimeamua ku mbrand hvo ila shetani ni wewe mwenyew na mungu ni wewe mwenyew unaamuavtu ushike upande upi!
mtu huwezi kuuza roho ila unaweza kuingia katika maagano tu na other beings, and still hayo maagano mtu anaweza kuyavunja as long as he is spiritually capable! na kumbuka nnaposema spiritual capable hakuna dini inaingia hapo! maana dizi hzi hazina spirituality!