" Wananiita Mpinga Kristo"

" Wananiita Mpinga Kristo"

Hivi nani anawalipa? Kama sh ngapi hivi?
Hawa wengi ni members wa freemason ulipwa kule madhabauni kwao Posta,kule wanasoma bible pia kuipotosha lakini.
 
Waafrika sehemu wanayo ikazania na kufanya vizuri ni kwenye Dini tu...

Elimu, Afya , miundombinu, siasa, michezo, uongozi na utawala bora ni Sifuri.....

Dini ni utumwa kwa waafrika wengi..
 
Waafrika sehemu wanayo ikazania na kufanya vizuri ni kwenye Dini tu...

Elimu, Afya , miundombinu, siasa, michezo, uongozi na utawala bora ni Sifuri.....

Dini ni utumwa kwa waafrika wengi..
Si kweli Mwafrika angefata dini KWA usahihi asingekuwa masikini.
Mwafrika afati dini bali anagusa dini,hakuna umasikini kwenye dini
 
Pana wachungaji wasio na uelewa wowote kuhusu maandiko, KWA makusudi wao wameamua kuyapotosha kimakusudi wakitumika yule Muovu. Hawa huduma yao ipo ukonga stakishari wanajiita Grace club, ndio watengenezaji wa bidhaa za Grace sabuni, mafuta, nk.

Wao wanafundisha ya kuwa.

1.Amri kumi za MUNGU ni ushenzi, upotofu, ujinga kuzifuata.
2.Watu wanywe pombe makanisani.
3.Watu wavaae watakavyo kanisa hata uchi SAwa, kama ni mapaja mbona wanakula ya kuku.
Mungu uangalia moyo
4.Hakuna unyakuo
5.Kutoa sadaka, zaka ni wizi
6.
Mafundisho yao mengi ni potoshi

Heheee wamefika huku? Anguko lao haliko mbali.. Save this post
 
Pana wachungaji wasio na uelewa wowote kuhusu maandiko, KWA makusudi wao wameamua kuyapotosha kimakusudi wakitumika yule Muovu. Hawa huduma yao ipo ukonga stakishari wanajiita Grace club, ndio watengenezaji wa bidhaa za Grace sabuni, mafuta, nk.

Wao wanafundisha ya kuwa.

1.Amri kumi za MUNGU ni ushenzi, upotofu, ujinga kuzifuata.
2.Watu wanywe pombe makanisani.
3.Watu wavaae watakavyo kanisa hata uchi SAwa, kama ni mapaja mbona wanakula ya kuku.
Mungu uangalia moyo
4.Hakuna unyakuo
5.Kutoa sadaka, zaka ni wizi
6.
Mafundisho yao mengi ni potoshi

Heheee wamefika huku? Anguko lao haliko mbali.. Save this post
 
Huenda pana ukweli amri za Mungu. Katoto kadogo huwezi kukawekea amri ni kukaongoza tu. Sisi ni vitoto vya Mungu na hatujui kitu, atatuwekeaje amri? Hiyo ni michongo tu ya binadamu kama walivyoweka kutoa sehemu ya kumi ili kushibisha matumbo ya wajanja. Hamnipati ng'o!!
 
Fatwa ina maana gani ?

fatwa​

noun

fat·wa ˈfət-wə
ˈfät-wä

: a legal opinion or decree handed down by an Islamic religious leader

But in modern times of Islamic fundamentalism, it has been associated with a death decree from religious leader as defined above!
 
Huenda pana ukweli amri za Mungu. Katoto kadogo huwezi kukawekea amri ni kukaongoza tu. Sisi ni vitoto vya Mungu na hatujui kitu, atatuwekeaje amri? Hiyo ni michongo tu ya binadamu kama walivyoweka kutoa sehemu ya kumi ili kushibisha matumbo ya wajanja. Hamnipati ng'o!!
Watoto hawana hatia
 
Wa Kristo wa kweli tunafurahi wakati hayo yanatokea Kwa Maana unabii unatimia
Inasikitisha sana mtu kusema unafurahi maana unafurahia maovu ,haustuki na unarelax.

Hata kwa Waislamu mambo mengi yametabiriwa kuelekea wakati wa mwisho mfano ;

1.Magonjwa ya ajabu
2.Matetemeko
3.Watu kuvaa uchi.
4.Mauaji kuongezeka.
5.Zinaa kukithiri nk

Lakini huwezi kukuta Muislamu akisema anafurahi kisa utabiri kutimia bali hali hiyo inakuwa kama taa nyekundu ya kurudi kwa Mola ,wake kuzidisha toba ,dua na kuchukua tahadhari.Vilevile mtu kufurahia uovu ni sawa na kuufanya lililobora hata ,kukemea,kuzuia kama huwezi hata kuchukia kile kitu kwa nafsi yako...
 
Heheee wamefika huku? Anguko lao haliko mbali.. Save this post
Pesa inatafutwa,za kwenye vipodozi,mafuta na sabuni haziwatoshi wamefungua na kanisa lakini wao uliita club na sio kanisa.
Nini tofauti ya club na church
 
Tunaomngoja Bwana mara ya pili hatushtuki na haya
 

Attachments

  • Screenshot_20230317_150328.jpg
    Screenshot_20230317_150328.jpg
    67.9 KB · Views: 10
wewe sio mkiristo wa kweli,bali ni mkiristo mchoyo usiependa wengine waokolewe
 
Kuna uelewa usiofanana ya maandiko ndio maana kuna madhehebu tofauti tofauti
Wanayofundisha Kuhani Musa,Zumaridi na Mwamposya sio mafundisho sawa na RC au SDA
Amini unacho amini muache Dr Ceasar aamini atakacho tusubiri siku ya kiama. Fainali
 
Pana wachungaji wasio na uelewa wowote kuhusu maandiko, KWA makusudi wao wameamua kuyapotosha kimakusudi wakitumika yule Muovu. Hawa huduma yao ipo ukonga stakishari wanajiita Grace club, ndio watengenezaji wa bidhaa za Grace sabuni, mafuta, nk.

Wao wanafundisha ya kuwa.

1.Amri kumi za MUNGU ni ushenzi, upotofu, ujinga kuzifuata.
2.Watu wanywe pombe makanisani.
3.Watu wavaae watakavyo kanisa hata uchi SAwa, kama ni mapaja mbona wanakula ya kuku.
Mungu uangalia moyo
4.Hakuna unyakuo
5.Kutoa sadaka, zaka ni wizi
6.
Mafundisho yao mengi ni potoshi

Serikali ilishawafungua lilikuwa sio kanisa bali ni sehemu.ya mkusamyiko wa kukusanya mashoga,wasagaji na watu ndoa za.jinsia moja

Akaona kuwakusanya afanyaje.ndio wakaamua kujiita kanisa lakini lengo lilikuwa kuweka kituo.open cha mashoga na wasagaji na wa ndoa za jinsia moja
 
Pesa inatafutwa,za kwenye vipodozi,mafuta na sabuni haziwatoshi wamefungua na kanisa lakini wao uliita club na sio kanisa.
Nini tofauti ya club na church
Walianzisha club hiyo ni.club ya mashoga,wasagaji na wa ndoa za jinsia moja
 
Serikali ilishawafungua lilikuwa sio kanisa bali ni sehemu.ya mkusamyiko wa kukusanya mashoga,wasagaji na watu ndoa za.jinsia moja

Akaona kuwakusanya afanyaje.ndio wakaamua kujiita kanisa lakini lengo lilikuwa kuweka kituo.open cha mashoga na wasagaji na wa ndoa za jinsia moja
KWA hio wafadhili wao ni kutoka ile nchi ya speaker wazi
 
Back
Top Bottom