Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Naelekea umri wa Mtu mzima sasa, nimekuwa kwenye mahusiano ya Mapenzi pamoja na Kungonoka zaidi ya miaka 30 (thelathini).
Thanks to God kwani ningali na Afya njema na imara kufuatia yeye kuninusuru na Magonjwa mbalimbali (naamini watu wazima mmenielewa)
Nirudi katika mada (point), kama nilivyo sema hapo awali, nimekuwa katika mahusiano na Mabinti, Maanti na Majimama mbalimbali, kutoka Makabila tofauti, Wanene na Wembamba, Warefu na Wafupi, Weupe na Weusi, Wake za watu na Mademu wa Washikaji zangu.
Kifupi nimeweza kula URODA wa kutosha na hii jinsia KE...!
Nakiri nimepitia uzoefu mbalimbali na wa kutosha, kwani katika swala zima la MA-LOVIE DAVIE kila mmoja huwa na MANJONJO/ MADOIDO/MASHAUZI yake kutokana na wapi na nani alimfunda alipokuwa UNYAGONI.
Wapo baadhi niliyo wapata humu humu JF kutokea PM (shukran kwa muhasisi JF)
Baada ya kuwala URODA kwa muda mrefu, katika mitindo mbalimbali Laini na Mgumu ya Kimyakimya na Kelele wapo nilio wasukumia "Nyama" Bafuni, Jikoni, Sebuleni na wengine Chooni...!
Kuna baadhi niliwagongea Garden hawa ni mbali na wale niliyo wachapia Sakafuni, kwa kweli ni wachache sana niliyo wapa Shughuli katika Gheto langu lililo kuwa na Kitanda Tatu kwa Sita pia Kibovu (wengi wao walikuwa MASTOO).
Wengi niliwasoma Saikolojia yao, na hii ilikuwa ni baada ya kuwahoji (kwa mbinu za Kimahaba) nilgundua wengi wa Wanawake huchoshwa/wamechoshwa Kimwili na Kiakili na hapa ndipo nilipo kuja na Mbinu hii...!
Sasa hivi wanachezea "MKUNYENYE" wakitoka hapo nawapa huduma ya Massage (kwa mkono wangu)
Kitu na Boksi...lazima waseme (Jomoni Raha..hapo hapo Diii..)
Huduma hizi kumbe unaweza ukafanya kama hisani lakini ikawa ni Sumu kwa mwingine...!
Ngoja niishie hapa kwa leo.
Ila wananiita Fundi siku hizi...!
Thanks to God kwani ningali na Afya njema na imara kufuatia yeye kuninusuru na Magonjwa mbalimbali (naamini watu wazima mmenielewa)
Nirudi katika mada (point), kama nilivyo sema hapo awali, nimekuwa katika mahusiano na Mabinti, Maanti na Majimama mbalimbali, kutoka Makabila tofauti, Wanene na Wembamba, Warefu na Wafupi, Weupe na Weusi, Wake za watu na Mademu wa Washikaji zangu.
Kifupi nimeweza kula URODA wa kutosha na hii jinsia KE...!
Nakiri nimepitia uzoefu mbalimbali na wa kutosha, kwani katika swala zima la MA-LOVIE DAVIE kila mmoja huwa na MANJONJO/ MADOIDO/MASHAUZI yake kutokana na wapi na nani alimfunda alipokuwa UNYAGONI.
Wapo baadhi niliyo wapata humu humu JF kutokea PM (shukran kwa muhasisi JF)
Baada ya kuwala URODA kwa muda mrefu, katika mitindo mbalimbali Laini na Mgumu ya Kimyakimya na Kelele wapo nilio wasukumia "Nyama" Bafuni, Jikoni, Sebuleni na wengine Chooni...!
Kuna baadhi niliwagongea Garden hawa ni mbali na wale niliyo wachapia Sakafuni, kwa kweli ni wachache sana niliyo wapa Shughuli katika Gheto langu lililo kuwa na Kitanda Tatu kwa Sita pia Kibovu (wengi wao walikuwa MASTOO).
Wengi niliwasoma Saikolojia yao, na hii ilikuwa ni baada ya kuwahoji (kwa mbinu za Kimahaba) nilgundua wengi wa Wanawake huchoshwa/wamechoshwa Kimwili na Kiakili na hapa ndipo nilipo kuja na Mbinu hii...!
Sasa hivi wanachezea "MKUNYENYE" wakitoka hapo nawapa huduma ya Massage (kwa mkono wangu)
Kitu na Boksi...lazima waseme (Jomoni Raha..hapo hapo Diii..)
Huduma hizi kumbe unaweza ukafanya kama hisani lakini ikawa ni Sumu kwa mwingine...!
Ngoja niishie hapa kwa leo.
Ila wananiita Fundi siku hizi...!
