Simu yangu mimi haina password, PIN, wala pattern. Ipo free tu. Naona uvivu kuwa na hayo ma "Authentification" yote, hayana umuhimu kwangu.
Simu yangu mimi haina password, PIN, wala pattern. Ipo free tu. Naona uvivu kuwa na hayo ma "Authentification" yote, hayana umuhimu kwangu.
Patterns ni ushamba tu kuna namna kibao ya kucheza na hio cm ata uwapange mia hawatajua mradi device iwe smartphone, mfano mimi ninao kibao na wote nawaachia washike cm watakavyo na hakuna ataegundua kuwa kuna wenzie ni trick tu na kucheza na hzi software
Patterns ni ushamba tu kuna namna kibao ya kucheza na hio cm ata uwapange mia hawatajua mradi device iwe smartphone, mfano mimi ninao kibao na wote nawaachia washike cm watakavyo na hakuna ataegundua kuwa kuna wenzie ni trick tu na kucheza na hzi software
Hahahaahahaaaa uko kama mimi tu. Sina huo muda aiseeeSimu yangu mimi haina password, PIN, wala pattern. Ipo free tu. Naona uvivu kuwa na hayo ma "Authentification" yote, hayana umuhimu kwangu.
Kuna Uongo Na Ulongo.Mfano Mzuri Wa Ulongo Ni Huu.
Simu yangu mimi haina password, PIN, wala pattern. Ipo free tu. Naona uvivu kuwa na hayo ma "Authentification" yote, hayana umuhimu kwangu.
Simu yangu mimi haina password, PIN, wala pattern. Ipo free tu. Naona uvivu kuwa na hayo ma "Authentification" yote, hayana umuhimu kwangu.
Mimi naweka password kumpa mwizi wakati mgumu akishaiba simu yangu...
Ila familia yangu nzima inajua password ya simu yangu...