interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Ni ujinga juu ya ujinga tu wala hakuna cha kumpagawisha Mwanamke wala cha ufundi wa mapenzi.
Maswala ya kulambana lambana haya ni mapokeo tu ya kizazi chetu hiki kinachoiga iga kila kitu hata visivyofaa.
Mbona mi huwa siitumii hiyo mbinu na Wanawake wengi tu hunisumbua niendelee kuwa nao katika mahusiano hata ambao wameshaolewa?
Maswala ya kulambana lambana haya ni mapokeo tu ya kizazi chetu hiki kinachoiga iga kila kitu hata visivyofaa.
Mbona mi huwa siitumii hiyo mbinu na Wanawake wengi tu hunisumbua niendelee kuwa nao katika mahusiano hata ambao wameshaolewa?
nimeona mimi