BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Na sie tuliotoa bikra wanawake zaidi ya mmoja??
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Wote uliowatoa bikira ni wake zako
Heheheheee
Na sie tuliotoa bikra wanawake zaidi ya mmoja??
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
kwa taarifa tu, maana ya kuolewa ni kutolewa bikra!!
Vivyo kwa wadada,m2 wa kwanza kujamiana naye huyo ndio mme wako,mtafute akuoe na si m2 mwingine!!
Hivyo mtu anadhani ameoa kumbe anakaa na mke wa m2,akijifariji anamke
basi tambueni kama umeoa mwanamke asiye na bikra tambua unaishi na mke wa m2
n.b
ni kuutana kimwili na jinsia tofauti ya yako,
Nenda kwa kasi ka i utafute mwanandoa mwenzako,
![]()
Kuna wanaume kwa mara ya kwanza tulianza kufanya mapenzi na mikono yetu kwa msaada wa sabuni revola, sijui ushauri wako tunautumiaje hapa?
Kuna wanaume kwa mara ya kwanza tulianza kufanya mapenzi na mikono yetu kwa msaada wa sabuni revola, sijui ushauri wako tunautumiaje hapa?
Kwa hiyo aliyetolewa bikra kwa kubakwa akamfuate mbakaji? maana wengine wametolewa bikra na ndugu waliowaamini sijui hili unaliongeleaje?
Huo ni mtazamo wako sio lazima watu waufuate
By the way wanaume wengi wameumia kwa sababu ya kudhani ukimtoa Bikira msichana basi atakuwa wako milele. wengine toana bikra utoto wakati tunachez kibaba!
Mtoa maada si mzima ni mgonjwa au amekaririshwaHapohapo. Kuna wengine bikra zao zimetoka bila hata wao kujua. Either walikuwa watundu sana au over active kama kupanda miti,kuendesha baiskeli na kucheza football hata sarakasi pia. Hawa mume yao ni nani mtoa mada?
Achana na kitoto hicho hata hakijui maana ya NDOA kwani hakijabalehe, vinatakiwa viende FacebookNgoja tu ni assume kuwa wewe sio fool
Hebu nieleweshe basi ulichokuwa unamaanisha ili niwe muelewa
Huko wapi niliko?
Ukweli gani??
we pimbi kweli huelewi ata kilichoandikwa<<<! i can argue wit a fool,!
kama ndo upo huko pole kwa kukupa ukweli
ahahahahahahahaha mtani kwann lakin kuntegua mbavu sa hiz!
af kuna kiota cha mishkaki ya firigisi luguruni pale dah!!
kimehareeb urasta wangu leo!
hebu fanya mmuvuzisho hapo!
Revola ndo wake zenu
Hao mlionao ni wake wa wenzenu
Hahahah!!
Jirani mitoko kam ahii inabidi unaideclare in advance atiii....yu know wea tu faindi mi si eti eeenh