KIUNGOMCHEZESHAJI
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 120
- 255
Na aliyetolewa bikira kwa kuendesha baiskeli naye akafunge ndoa na baiskeli au?
uombewe wew unaekaa na mke wa m2,ukijifarij ni nwako
we mwendawazimu rudia kasome mada ndo uchangieWewe upstairs empty kabisa, kwahiyo mizigo wenzako wa ccm Mzee Malecela na Pius Msekwa na Philip Mangula wale siyo wake zao?
Jinga kabisa wewe.
yan we dunya,
na akili yako yenye matope na inayofanana na iyo avart yako,
sasa mkuu,itakuaje kwa wale waliowatoa bikira mabint zaidi ya 10? je,inampasa awahudumie wote kwa kuwaoa ama unasemage mkuu?kwa taarifa tu, maana ya kuolewa ni kutolewa bikra!!
Vivyo kwa wadada,m2 wa kwanza kujamiana naye huyo ndio mme wako,mtafute akuoe na si m2 mwingine!!
Hivyo mtu anadhani ameoa kumbe anakaa na mke wa m2,akijifariji anamke
basi tambueni kama umeoa mwanamke asiye na bikra tambua unaishi na mke wa m2
n.b
ni kuutana kimwili na jinsia tofauti ya yako,
Nenda kwa kasi ka i utafute mwanandoa mwenzako,
![]()
we mwendawazimu rudia kasome mada ndo uchangie
usikurupuke ka umeguswa nnya,
Afu ka umenajisiwa na siasa,watafute wanasiasa wenzako