Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Moderetor wameamua kuondoa LIKE na sababu wananijua waoA
Au zimekuwa useless??
Ngoja nikuulize swali
Ukiwa unakitafuta kiatu ndani mwako ukikipata utafurahi au utachukia?
Jibu ni ndiyo,isn't it?
The same thng apply kwenye ishu ya kujiuliza mambo ya hovyo kama haya
Ukianza kumkagua mkeo kama anatoka nje ukijua hilo utafurahi?
MWANAUME hahitaji kuambiwa na mwanamke kuhusiana na mambo ya hovyo hayo
Yeye ni kumhudumia na kuhakikisha hapati njaa ya aina yoyote ile!!!!!!!!
Hahahahakanunue bastola kwanza halafu ndio uanze kufikiria hayo
ndo maana nikawaambia mkamate hii fursa, kuna mengi sana ya kufunzana ndoani, yaani mengi mengi mnoooooo......Mhhhhhhhhhhhh,
Mbona nimeona kama point nyingine hazina tija??
Kwa nini nifikirie na kuwazua kama bibi anabanjuliwa wakati sijalala njaa hata siku moja...na pia pensheni inazidi kunoga?
Nikiwambia wajukuu habari za mimi kunusa nusa mtaani enzi za uwajibikaji wangu...ina tija kweli?
Ngoja kwanza nimuulize Bibi...
Babu DC!!
big upmi huwa nikimuangalia mke wangu nawaza ni lini tutajenga ghorofa yetu tuondoke kwenye hii nyumba ya kupanga
Hii thread ni kwa wanandoa especially upande wa kiume,lakini nitashukuru sana hata upande wa kike ukachaingia:Wazee hebu fikiria tangu ulipomjua huyu ambaye sasa hivi unamwita mke,anzia tangu uchumba wenu hadi sasa, je umeshawahi kufikiria haya ambayo mimi sometimes nayafikiriaga:
1.Hivi huyu mke wangu tangu nimjue hadi sasa tunaingia mwaka wa tisa kwenye ndoa yetu na mwaka wa kumi na moja tangu tufahamiane,je katika kipindi chote hicho hajawahi kumpa papuchi mwanaume mwingine kweli.
2.Je ataendelea kuwa mwaminifu mpaka tuzeeke bila kuguswa na njemba yoyote,Yaani dudushele langu tangu namjua mpaka nazeeka ndio liwe linaingia tu kwenye papuchi yake.
3.Ushawahi kujiuliza angalau utamani kumwona mwizi anayemchukua mkeo,umwone live anavyomkunja mkeo,na jinsi mkeo anavyompa ushirikiano. (Hakika kwangu nikiona live ufasaroo lazima utahusika)
4.Je mkeo akitongozwa huko nje,anawajibujibuje hao jamaa ?
nafikiri hawezi kufikiri zaidi ya ngononashangaa mwanaume mzima tena mwana ndoa unajiuliza maswali ya kipuuzi kama ya kipimajoto cha ITV? watu wanajiuliza watahamia lini kwenye maghorofa? biashara gani amfungulie mkewe? watoto wasome wapi? mwaka huu tutafanya yapi? we unawaza mingonongono tu? maswali yenyewe unayo majibu...
ndo maana nikawaambia mkamate hii fursa, kuna mengi sana ya kufunzana ndoani, yaani mengi mengi mnoooooo......
sasa hapa mtu kabisa anakaa anawaza haya, hili si ni tatizo babu? unaanzia wapi kumwazia mwenzio haya? na wewe wafanya hivyo ndo maana unafikiri na mwenzio anafanya hivyo? mi nashindwa kuelewa kwa kweli
nashangaa mwanaume mzima tena mwana ndoa unajiuliza maswali ya kipuuzi kama ya kipimajoto cha ITV? watu wanajiuliza watahamia lini kwenye maghorofa? biashara gani amfungulie mkewe? watoto wasome wapi? mwaka huu tutafanya yapi? we unawaza mingonongono tu? maswali yenyewe unayo majibu...