Wanandoa njooni huku

Wanandoa njooni huku

Wewe umejaa matatizo tena makubwa uko wapi nijekukuchukulia .
 
Mi huwa nikimuangalia mke wangu nawaza ni lini tutajenga ghorofa yetu tuondoke kwenye hii nyumba ya kupanga
 
Msiwawazie wenza wenu mabaya, unless kama mwenyewe unayafanya hayo
 
Ishi kwa imani na matumaini ya uaminifu tu, ukifikiria hasi utakonda sana pia ile mihemko kwa mke itapungua sana maana ukimwangalia utakua unawaza ya kuwa huibiwi kweli!!!!?
 
Hii thread ni kwa wanandoa especially upande wa kiume,lakini nitashukuru sana hata upande wa kike ukachaingia:Wazee hebu fikiria tangu ulipomjua huyu ambaye sasa hivi unamwita mke,anzia tangu uchumba wenu hadi sasa, je umeshawahi kufikiria haya ambayo mimi sometimes nayafikiriaga:
1.Hivi huyu mke wangu tangu nimjue hadi sasa tunaingia mwaka wa tisa kwenye ndoa yetu na mwaka wa kumi na moja tangu tufahamiane,je katika kipindi chote hicho hajawahi kumpa papuchi mwanaume mwingine kweli.
2.Je ataendelea kuwa mwaminifu mpaka tuzeeke bila kuguswa na njemba yoyote,Yaani dudushele langu tangu namjua mpaka nazeeka ndio liwe linaingia tu kwenye papuchi yake.
3.Ushawahi kujiuliza angalau utamani kumwona mwizi anayemchukua mkeo,umwone live anavyomkunja mkeo,na jinsi mkeo anavyompa ushirikiano. (Hakika kwangu nikiona live ufasaroo lazima utahusika)
4.Je mkeo akitongozwa huko nje,anawajibujibuje hao jamaa ?

Unatafuta malignant Hypertension?
 
Hii thread ni kwa wanandoa especially upande wa kiume,lakini nitashukuru sana hata upande wa kike ukachaingia:Wazee hebu fikiria tangu ulipomjua huyu ambaye sasa hivi unamwita mke,anzia tangu uchumba wenu hadi sasa, je umeshawahi kufikiria haya ambayo mimi sometimes nayafikiriaga:
1.Hivi huyu mke wangu tangu nimjue hadi sasa tunaingia mwaka wa tisa kwenye ndoa yetu na mwaka wa kumi na moja tangu tufahamiane,je katika kipindi chote hicho hajawahi kumpa papuchi mwanaume mwingine kweli.
2.Je ataendelea kuwa mwaminifu mpaka tuzeeke bila kuguswa na njemba yoyote,Yaani dudushele langu tangu namjua mpaka nazeeka ndio liwe linaingia tu kwenye papuchi yake.
3.Ushawahi kujiuliza angalau utamani kumwona mwizi anayemchukua mkeo,umwone live anavyomkunja mkeo,na jinsi mkeo anavyompa ushirikiano. (Hakika kwangu nikiona live ufasaroo lazima utahusika)
4.Je mkeo akitongozwa huko nje,anawajibujibuje hao jamaa ?
Ngoja nikuulize swali

Ukiwa unakitafuta kiatu ndani mwako ukikipata utafurahi au utachukia?
Jibu ni ndiyo,isn't it?

The same thng apply kwenye ishu ya kujiuliza mambo ya hovyo kama haya
Ukianza kumkagua mkeo kama anatoka nje ukijua hilo utafurahi?

MWANAUME hahitaji kuambiwa na mwanamke kuhusiana na mambo ya hovyo hayo
Yeye ni kumhudumia na kuhakikisha hapati njaa ya aina yoyote ile!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom