Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
mkùu we wasema, ktk u-bf/gf unakuta mtu anatoa masharti huyu rafiki yako ctaki kumsikia na urafiki wenu ufe. hapo hamjafunga ndoa je mkifunga ndoa je.... utachaguliwa marafiki
Mambo ya udikteta tupa kule!