walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,845
- 5,687
Kabisa mkuu unajua baadhi ya makabila wanajua kuwa mwanaume apewe mavyakula mengi anenepe ndio wanaona sawa kumbe mawanga mwengi mwisho wa siku likitambi iloo sukari kifoYaani unijazie chakula ninenepe nife? Ndio maana majitu yakioa yananenepa kama kitimoto mwisho wa siku sukari na presha halafu nguvu za kiume zinakuishia unachapiwa ndoa inavunjika. Kula kwa kiasi na ule chakula kilicho balance diet zote.
Mie najipakulia mwenyewe na nakula chakula kidogo, matunda kwa wingi na mboga mboga. Huyo mkeo hana elimu ya lishe bora