Wanandoa hii hali imewahikukukuta?

Wanandoa hii hali imewahikukukuta?

Yaani unijazie chakula ninenepe nife? Ndio maana majitu yakioa yananenepa kama kitimoto mwisho wa siku sukari na presha halafu nguvu za kiume zinakuishia unachapiwa ndoa inavunjika. Kula kwa kiasi na ule chakula kilicho balance diet zote.

Mie najipakulia mwenyewe na nakula chakula kidogo, matunda kwa wingi na mboga mboga. Huyo mkeo hana elimu ya lishe bora
 
Huyo itakuwa ni wale wanaopenda wanaume wenye vitambi au wanene,kwahiyo possibly kwakuwa wewe una mwili wa kawaida au mwembamba anapambana ili akufikishe kwenye huo mwili...
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?

Mkuu we hujawajua wanawake hila zao. Hapo anachotaka yeye ni kwamba anataka unenepe, uote likitambi, upoteze mvuto ili usitamaniwe na wanawake wengine! 😂😂😂
 
Hata mimi napenda hubby ale haswaa tena mpaka tonge la mwisho,lakini ale ashibe kwa kiasi chake mambo ya kumlazimisha ale mpaka avimbiwe hapana,huyo mkeo ni wale wanawake ambao mume akijamba ndio heshima kwake kuwa umekula umeshiba,sasa ww ukila hata kujamba hujambi anajua hujashiba.................kula mzee umjambie mkeo afurahi.
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Kha wee umeoa kijischana. Alafu mke anakulazimishaje kula bwana....wee ndio father house ukisema nataka chakula kidogo mke lazima aheshimu
 
Hata mimi napenda hubby ale haswaa tena mpaka tonge la mwisho,lakini ale ashibe kwa kiasi chake mambo ya kumlazimisha ale mpaka avimbiwe hapana,huyo mkeo ni wale wanawake ambao mume akijamba ndio heshima kwake kuwa umekula umeshiba,sasa ww ukila hata kujamba hujambi anajua hujashiba.................kula mzee umjambie mkeo afurahi.
Kumbe tukila halafu tukauachia hua mnasikia raha...?
 
Huyo itakuwa ni wale wanaopenda wanaume wenye vitambi au wanene,kwahiyo possibly kwakuwa wewe una mwili wa kawaida au mwembamba anapambana ili akufikishe kwenye huo mwili...
Kipindi tunaoana mimi nilikuwa na kilo 65 yeye 60 lakini sasa hivi yeye ana 79 mimi bado nachezea 64-67, Labda anataka niongezeka uzito
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Kuwa mbunifu kwa mfano.....kabla hujarudi mwelekeze mapema sana kuwa asile mpaka urudi then akishapakua chakula unamweleza kwa maneno mazuri kuwa mle sahani moja kwasababu nyinyi ni mwili mmoja mkimaliza kula mnakunywa kama maji kwa gras moja au kahawa kwa kikombe kimoja then mnaenda kujifunika....moja then urudi na mrejesho hapa kwasababu umeamua kuweka wazi mambo ya familia yako!
 
Sasa tatizo
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Tatizo liko wapi hapo hapo, mwache alie kisha atanyamaza ww chapa lapa tu, we unadhani unaweza kuwaridhisha hao watu.
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Nyakati zimebadilika Sana. Mshauri Mkeo akupikie chakula kwa mpangilio wa protein na Mboga za majani na matunda ndio viwe mlima kwenye sahani, na sio wali au ugali, ndizi au tambi. Magonjwa nje nje.
 
Back
Top Bottom