Samahani, nina swali. Ulishawahi kuvuta bangi?Hata mimi napenda hubby ale haswaa tena mpaka tonge la mwisho,lakini ale ashibe kwa kiasi chake mambo ya kumlazimisha ale mpaka avimbiwe hapana,huyo mkeo ni wale wanawake ambao mume akijamba ndio heshima kwake kuwa umekula umeshiba,sasa ww ukila hata kujamba hujambi anajua hujashiba.................kula mzee umjambie mkeo afurahi.
Muache, oa mwingine!Ndoa zina mengi.
Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.
Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.
Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.
Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Hahahaaa hii nilifanyiwa nilikuwa mvivu mno kula,hahaha! bro niashalipita mm hlo, we kumkomoa mshawishi muwe mnakula sahan moja hadi mwisho..
Nani kakwambia wenye vitambi hawatamaniwi?Mkuu we hujawajua wanawake hila zao. Hapo anachotaka yeye ni kwamba anataka unenepe, uote likitambi, upoteze mvuto ili usitamaniwe na wanawake wengine!![]()


Mwambie aache kukupakulia,pakua mwenyewe.Ndoa zina mengi.
Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.
Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.
Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.
Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Nyumba ina heater mke akamuwashie heater amuwekee na taulo bafuni.Halafu kuna wanaume Eti wao kila mlo awapo nyumbani lazima apakuliwe na mkewe la sivyo ugomvi hadi vikao na wanafamilia!
Mapenzi ya kikoloni kabisa mahaba ya kiutumwa!
Mfano Eti mume atengewe maji ya kuoga apelekewe bafuni.
Mimi nawauliza hivi mfano nyumba ina master bed room , ina heater za maji ya moto na baridi kutakuwa na haja ya mke kumuandalia maji ya kuoga mumewe?
65 kgUna kilo ngapi? Labda ndo zinamliza manake raha mwanamme akiwa na kibody flani yummy yummy. 😁😁😁😁🤭🤭
Acha ulaku mkuu.Mm nikipewa msosi naupiga mpaka wanasema mmmmh utaua watoto kwa njaa.