PostGE2025 Wananchi Zanzibar wajitokeza uchaguzi mdogo Fuoni

PostGE2025 Wananchi Zanzibar wajitokeza uchaguzi mdogo Fuoni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Joined
Dec 9, 2025
Posts
50
Reaction score
84
Wananchi wa Jimbo la Fuoni lililopo wilaya ya Magharibi B mkoa wa Mjini Mgaharibi, Zanzibar wameendelea kujitokeza kushiriki katika uchaguzi mdogo wa Mbunge katika jimbo hilo.

Uchaguzi huo unafanyika hii leo Desemba 30, 2025 kufuatia kifo cha aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Abbas Ali Hassan Mwinyi aliyefariki mwezi Septemba mwaka huu.

Msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya hiyo, Miraji Mwadin Haji ameeleza kuwa hali ya kiusalama katika vituo vyote 36 vya uchaguzi ni shwari na wananchi wameendelea kujitokeza kushiriki uchaguzi huo.

Soma pia
 
Screenshot_20251230-124956~2.png
 
Back
Top Bottom