KICHAKA
Member
- Jun 17, 2009
- 58
- 9
Kupitia ITV jana kipima Joto wananchi mbalimbali wameshukia kauli za kitoto za Membe Joka la Mdimu zilizokuwa zikijifanya kuwa na nguvu ya Amri Jeshi Mkuu za kutangaza kuwa jeshi letu litaenda kupigana Kongo. Hii ni mara ya pili katika wiki moja ambapo kauli za Joka la Mdimu zinapingwa na wananchi ya kwanza ikiwa ile ya kutaka kuihusisha Sadc kama third party katika mgogoro wa Malawi kauli iliyopingwa mja kwa moja na Rais na hii ya juzi pia imepingwa katika mkutano wa wakuu wa nchi uliofanyika jana Uganda. My Take kweli tulikuwa hatumjui Joka la Mdimu hadi kufikia 2015 tutakuwa tumemfahamu vya kutosha na kwa papara hizi za kukimbilia matamko bila kuwa na baraka ya wakuu wake wa kazi, asubiri tu tumjue zaidi na mwisho kumpuuza kabisa