Wananchi wawapa viongozi maji machafu mkutanoni
Wananchi wa Kijiji cha Marsabit wamewapa maji machafu viongozi wa Serikali waliokuwa mkutanoni wakishinikiza kuacha kujadili masuala yasiyokuwa ya msingi na badala yake wazungumzie upatikanaji wa maji safi.
Wananchi wa Kijiji cha Marsabit wamewapa maji machafu viongozi wa Serikali waliokuwa mkutanoni wakishinikiza kuacha kujadili masuala yasiyokuwa ya msingi na badala yake wazungumzie upatikanaji wa maji safi.