Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,384
Mitihani ya Form four imeanza leo, sasa kama hamjarekebisha matatizo ya shule zinazomilikiwa na misikiti tatizo litabaki pale pale wakati wa kutangazwa matokeo, ni kidedea kwa shule za kanisa. maana watu wa kanisa hawana muda wa kupika majungu kama wewe kutwa kucha huko hapa kueneza fitina tu. nimetoa angalizo tu.