Wananchi wanalaumu kuhusiana na kauli ya dharau iliyotolewa na Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz, Jux na Marioo na siyo masuala ya kisiasa

Wananchi wanalaumu kuhusiana na kauli ya dharau iliyotolewa na Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz, Jux na Marioo na siyo masuala ya kisiasa

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,541
Reaction score
916
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa

Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama chochote cha Siasa

Wanacholalamikia Wananchi ni dharau kubwa walio onesha Wasanii wa Muziki Diamond Platinumz, Jux, Marioo na Ommy Dimpoz
Kauli ya kufanya kazi iliyopelekea kutafsiriwa kama dharau kubwa kwa Wananchi wasiokuwa na kipato cha fedha

Binafsi sioni kama ni kauli nzuri kwa Wananchi kwasababu sio kila Mwananchi aliyebahatika kupata fedha sawa na wanazopata Wasanii na hasa ukizingatia fedha hizo zinatokana na ushirikiano wa shabiki wa muziki

Swala la kuwashutumu Wananchi kuwa wanawachukia Wasanii kwasababu ya kujihusisha na siasa ni uonevu mkubwa kwasababu hata Wananchi hao wanaolalamika wamo ndani ya vyama hivyo vya siasa
 
Binafsi nime hukizwa na wao kupgia kampeni Samia...
Pia kutokutoa masikitiko Kwa ajili ya watu waliopotezza maisha
 
Binafsi nime hukizwa na wao kupgia kampeni Samia...
Pia kutokutoa masikitiko Kwa ajili ya watu waliopotezza maisha
Maana yake swala la kukosa utu, hili ni tatizo kubwa sana
 
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa

Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama chochote cha Siasa

Wanacholalamikia Wananchi ni dharau kubwa walio onesha Wasanii wa Muziki Diamondi Platnumz, Juz, Marioo na Omy Dimpoz
Kauli ya kufanya kazi iliyopelekea kutafsiriwa kama dharau kubwa kwa Wananchi wasiokuwa na kipato cha fedha

Binafsi sioni kama ni kauli nzuri kwa Wananchi kwasababu sio kila Mwananchi aliyebahatika kupata fedha sawa na wanazopata Wasanii na hasa ukizingatia fedha hizo zinatokana na ushirikiano wa shabiki wa muziki

Swala la kuwashutumu Wananchi kuwa wanawachukia Wasanii kwasababu ya kujihusisha na siasa ni uonevu mkubwa kwasababu hata Wananchi hao wanaolalamika wamo ndani ya vyama hivyo vya siasa
Ukiacha usenge unakuwa kijana mwema sana ona thread yako inavyopendeza,ila hapo kwenye paragraph yako ya pili naomba nikupinge kwa madhalimu ya ccm si haki kwa mtu yeyote kujihusisha na siasa hasa kuwa upande wa upinzani
 
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa

Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama chochote cha Siasa

Wanacholalamikia Wananchi ni dharau kubwa walio onesha Wasanii wa Muziki Diamondi Platnumz, Juz, Marioo na Omy Dimpoz
Kauli ya kufanya kazi iliyopelekea kutafsiriwa kama dharau kubwa kwa Wananchi wasiokuwa na kipato cha fedha

Binafsi sioni kama ni kauli nzuri kwa Wananchi kwasababu sio kila Mwananchi aliyebahatika kupata fedha sawa na wanazopata Wasanii na hasa ukizingatia fedha hizo zinatokana na ushirikiano wa shabiki wa muziki

Swala la kuwashutumu Wananchi kuwa wanawachukia Wasanii kwasababu ya kujihusisha na siasa ni uonevu mkubwa kwasababu hata Wananchi hao wanaolalamika wamo ndani ya vyama hivyo vya siasa
Ukiacha usenge wa kichawa unakuwa kijana mwema sana ona thread yako inavyopendeza,ila hapo kwenye paragraph yako ya pili naomba nikupinge,kiuhalisia madhalimu ya ccm kwao si haki mwananchi yoyote kujihusisha na siasa za upinzani bali awe anaiunga mkono ccm.kwa muktadha huu kuwa mpinzani ni zambi kubwa
 
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa

Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama chochote cha Siasa

Wanacholalamikia Wananchi ni dharau kubwa walio onesha Wasanii wa Muziki Diamond Platinumz, Jux, Marioo na Ommy Dimpoz
Kauli ya kufanya kazi iliyopelekea kutafsiriwa kama dharau kubwa kwa Wananchi wasiokuwa na kipato cha fedha

Binafsi sioni kama ni kauli nzuri kwa Wananchi kwasababu sio kila Mwananchi aliyebahatika kupata fedha sawa na wanazopata Wasanii na hasa ukizingatia fedha hizo zinatokana na ushirikiano wa shabiki wa muziki

Swala la kuwashutumu Wananchi kuwa wanawachukia Wasanii kwasababu ya kujihusisha na siasa ni uonevu mkubwa kwasababu hata Wananchi hao wanaolalamika wamo ndani ya vyama hivyo vya siasa
Ni masuala ya kisiasa 100% kwani isingekuwa hivyo kususiwa kungekuwa kwa wale wasenge wanne peke yao, Majizzo juzi kajaribu kuwaombea msamaha wasanii bila kujua kwa Gen Z naye yumo kwenye kundi la kukataliwa na swali aliliulizwa zaidi ni media yake imewahi kuongelea watu wanaotekwa, kuuawa na kufirwa na hawa polisi wa Samia hivyo this shit started a way back kabla wale machoko hawajaropoka.
Kikubwa ni kwamba hii inaonyesha majority ya vijana hawampendi yoyote aliye upande wa wauaji kwani kama ingekuwa majority ndiyo wanao-support government mgomo wa minorities usingekuwa na impact katika tasnia nzima ya entertainment.
 
Ni masuala ya kisiasa 100% kwani isingekuwa hivyo kususiwa kungekuwa kwa wale wasenge wanne peke yao, Majizzo juzi kajaribu kuwaombea msamaha wasanii bila kujua kwa Gen Z naye yumo kwenye kundi la kukataliwa na swali aliliulizwa zaidi ni media yake imewahi kuongelea watu wanaotekwa, kuuawa na kufirwa na hawa polisi wa Samia hivyo this shit started a way back kabla wale machoko hawajaropoka.
Kikubwa ni kwamba hii inaonyesha majority ya vijana hawampendi yoyote aliye upande wa wauaji kwani kama ingekuwa majority ndiyo wanao-support government mgomo wa minorities usingekuwa na impact katika tasnia nzima ya entertainment.
Kwakweli kazi ipo kwa Wasanii hii ni big issue sio jambo jepesi wanakazi kubwa sana
 
Kwanza msanii unajihusisha na siasa ili iweje wakati unajua mashabiki zako ni watu wa vyama tofauti na wanamitazamo tofauti ya kisiasa, msanii unapanda jukwaa la siasa na kuanza kuwakebehi watu wa chama kingine ambao pia ni mashabiki zako. Wenzetu huko tunasikia kuna wakati wanavunja hadi mahusiano na watu wanao date nao kisa mahusiano hayo yana athiri mziki wao yote sababu ya mashabiki, sasa wewe msanii wa bongo unafikia hadi kuwaambia mashabiki zako kwamba hawana kazi za kufanya ndio maana kutwa kukosoa serikali halafu wakati huo wewe msanii unajinyenyekeza kwa chama tawala ili kulinda mambo yako yaende na kuyalinda.
 
KWA MAZINGIRA YA SASA GEN Z WAKITANGAZA MAANDAMANO HATA KAMA HAWATAFANYA, VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LAZIMA VIWEKE LOCK -DOWN.

KUWEKA LOCK-DOWN MAANA YAKE NI KUKWAMISHA SHUGHULI NYINGI ZA KIUCHUMI; UTALII UNADORORA ZAIDI, BANDARI KUNASIMAMA, USAFIRI WA ANGANI NA ARDHINI UNADORORA ZAIDI NA MAPATO YA SERIKALI YANAPUNGUA.
 
Ukiacha usenge unakuwa kijana mwema sana ona thread yako inavyopendeza,ila hapo kwenye paragraph yako ya pili naomba nikupinge kwa madhalimu ya ccm si haki kwa mtu yeyote kujihusisha na siasa hasa kuwa upande wa upinzani
CCM ni mashetani
 
Back
Top Bottom