Wananchi wanakula mizizi Kisarawe

Wananchi wanakula mizizi Kisarawe

Samvulachole

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2006
Posts
413
Reaction score
119
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi

Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?

Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?

wabunge waliopita ni:

KIGOMA ALI MALIMA (marehem)

MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)


Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?

Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna
 
Hata mihogo, viazi, magimbi, ni mizizi na tunaila mjini kila kukicha.
 
Alae mizizi Kisarawe ni kutokana na uvivu wake kwani ardhi ina rutuba ya kutosha na mvua za kutosha. Nawaasa waache biashara ya kuuuza ardhi na baadaye kubaki hawana kitu. Pia wpunguze muda wa kucheza ngoma na wafanye kazi zaidi!!!! Ajitakiaye shida hapewi pole!!!!!!
 
Sisi tuko bize kutafuta vazi la taifa saa izi.
 
Serikali serikali serikali serikali! Ni kweli kumekuwa na uzembe katika kusimamia shughuli mbalimbali za maendeleo ambapo kwa kiasi kikubwa lawama tunaelekeza kwa serikali.

Dhiki iliyoikumba kisarawe(njaa) inawezekana imechangiwa kwa kiasi kikubwa na mambo mawili au matatu, mosi hali ya ukame iliyotokana na mabadiliko ya tabia nchi, pili inawezekana ndugu zangu wa kisarawe hawakubakiza akiba ya chakula walikiuza chote kufanikisha mipango yao, pengine hata mavuno hayakuwa ya kutosha kutokana na hali mbaya ya hewa, na kama ni kweli wanauza ardhi kama ilivyosemwa hili pia sio jema linaweza kuwa na athari kubwa.

Hoja ya kutangazwa hali ya hatari si rahisi kama inavyofikiriwa, kimsingi dhiki hii itafutiwe ufumbuzi kwa kuahakikisha wananchi wanapewa chakula lakini pia wananchi wanapaswa kuona umuhimu wa kuhifadhi chakula. Lawama kwa serikali wakati mwingine sio ufumbuzi wa tatizo, yeah ni miaka50 ya uhuru, ikumbukwe kuwa kuna maeneo mengi ukame umetamalaki na matokeo yake ni baa la njaa na kero nyingine nyingi. Mnawezajikuta mmetangaza hali ya hatari nchi nzima!

Poleni sana wanakisarawe Mungu muweza wa yote atafanya jambo.
Nawasilisha!
 
Hata mihogo, viazi, magimbi, ni mizizi na tunaila mjini kila kukicha.

FF mchawi wako amekufa au????Mbona huna huruma hata kwa ndugu zako,kulikoni? Au mchawi ndio wewe mwenyewe?Lakini yote yana mwisho. Amen
 
FF mchawi wako amekufa au????Mbona huna huruma hata kwa ndugu zako,kulikoni? Au mchawi ndio wewe mwenyewe?Lakini yote yana mwisho. Amen

Mamatau kwenye post #3 kisha jibu vizuri sana.
 
Saa nyingine tuangalie na upande wa wananchi wenyewe wapi wanakosea! Wakazi wa Kisarawe bado wanakumbatia mila na desturi ambazo kwa namna moja au nyingine zinachangia kurudisha nyuma maendeleo yao! Uvivu wa kulima na hata kufanya biashara unachangia; matumizi ya vyakula kwa sherehe za kimila nazo zinachangia. Rutuba wanayo sana tu, wana advantage ya kuwa karibu na soko kuu la vyakula nchini walitumie! Kule kunastawi mihogo kwa sana lakini ni wanhgapi wanalima mihogo kwa biashara? Wangapi wanahudhuria mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa wilayani mwao!?
 
Tatizo la njaa kwa watu wanaoishi vijijini kwa kutegemea kilimo kwa maisha yao hilo lipo. Na sio kama wavivu, bali kutokana na
mabadiliko ya tabia ya hali hewa duniani hiyo ndio imewaathili sana. Mvua hazinyeshi kama inavyokuwa kawaida kutokana na haya
mabadiliko. Ukame wa ardhi ndio uliosimama sasa hivi, na basi mvua ikinyesha inakuwa ni janga na kuharibu mazao yote
shambani. Na hata kuharibu chakula chao cha akiba kwa kusombwa na maji ya mvua. Na ukiangalia nchi yetu na za majirani
zetu hapa Afrika mashariki ndio tulioathirika sana, na ukiangalia ukulima wetu ni bado tupo katika primitive way.
Serikali za Ulaya, amerika, Canada na Japan zimetoa ruzuku na zinaendelea kutoa kwa nchi masikini zilizoathirika na mabadiliko
ya tabia ya hewa Duniani. Kwa kuangalia nchi hizo ndizo zimechangia kiasi kikubwa wa haya mabadiliko.
Sasa cha kujiuliza Serikali ya Tanzania inawasaidia vipi hao waathirika mpaka wanafikia kula Mizizi, au ndio imekuwa zii pesa azijulikani
zilipokwenda, na kwa ukiangalia mbele hao ndio wanahitajika kusaidiwa kwanza, kabla ya miundo mbinu na vitu vingine.
 
Na mbunge wa sasa ni Said Jafo, graduate wa Bsc. HE&HN SOKIONE UNIVERSITY, 2001
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi

Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?

Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?

wabunge waliopita ni:

KIGOMA ALI MALIMA (marehem)

MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)


Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?

Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna
 
acha wale majani

wakifa wengine wataenda kuchukua ardhi na nafasi kwao
 
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi

Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?

Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?

wabunge waliopita ni:

KIGOMA ALI MALIMA (marehem)

MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)


Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?

Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna

UVIVU

Hakuna mwaka uliokuwa wa NEEMA ya mvua za kutosha kama mwaka jana (2011) kwa ukanda huu wa Kisarawe.

Mvua za vuli zilizonyesha kuanzia mwezi wa November 2011, wananchi wengi waliolima sasa hivi wanakula na kuuza mahindi mabichi.

Ni lazima wabadilike, vinginevyo njaa itawateketeza.
 
Mwaka 2011 nimevuna mpunga, mahindi hadi nikakosa sehemu ya kuhifadhi chakula, uvivu wa hawa watu unajulikana, ukitafuta vibarua kwa ajili ya palizi hawataki, inabidi tuchukue vibarua toka Pugu na Gongo la mboto asubuhi na kuwarudisha jioni.
 
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi

Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?

Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?

wabunge waliopita ni:

KIGOMA ALI MALIMA (marehem)

MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)
Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?

Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna


Kwani ni jambo la ajabu sana huko Tanzania.

Mbona tunasikia kwenye baadhi ya wilaya mikoa ya mara, Singida na shinyanga watu wanapata taabu kuliko hizo?

Nafikiri ni vizuri uangalia nchi nzima na tatizo la njaa badala ya kuangalia vipande vipande na kushusha tuhuma kwa baadhi ya wabunge.

Ni vizuri ujue Serikali imechangia nini katika kutaka kuharakisha maendeleo ya wananchi wake.

 
Juzi nimeenda Wilaya ya kisarawe nikashangazwa kuona dhiki ilkiyokubuhu kule. Lakini lililonitisha ni kuambiwa kuwa wananchi wako maeneo ya kibuta wana dhiki kiasi cha kuwa hawana hata chakula wameishia kula mizizi

Hivi kweli miaka 50 baada ya uhuru imekuwaje wilaya ile inaonekana kama vile bado wako enzi za mkoloni mjerumani?

Hivi jimbo la kisarawe lina mbunge kweli?

wabunge waliopita ni:

KIGOMA ALI MALIMA (marehem)

MZEE JANGUO (alikuwa mkurugenzi THA)


Jamani kuna siri gani ambayo inafanya viongozi wa serikali na chama na NGO's kulikimbia hili jimbo la kisarawe?

Nashauri Rais atangaze hali ya dharura ili ijulikane imekuwaje wananchi ambao ni watanzania wanakula mizizi wakati kuna programu za maendeleo, wna wanatengewa fedha za maendeleo na wanakatwa kodi za kila namna

wamezoea kula mizizi kwani hawapendi kufanyakazi.
 
Back
Top Bottom