Wananchi wamewakataa, Kikwete amewachagua!

Halafu akiambiwa Serikali yake ni ya "Kishikaji" ana panic!!!!.....
 
huyu jamaa bhana, hata kusoma saikolojia ya wananchi ameshindwa. kweli nchi hii imepatwa
 
serikali legelege na viongozi legelege hujenga taifa legelege linaloendeshwa ki legelege!kila kitu legelege
 
Waswahili wanasema kenge huwa asikii, na ukitaka kenge asikie inabidi umtandike mpaka damu zimtoke maskioni ndo atasikia. Mda wa kuwatandika CCM ni 2015 kupitia sicret balot.

Bi Mkora hilo litawezekana tu kama Watanzania wataamua kulinda kura zao katika kila jimbo nchini ili kuhakikisha hakuna uchakachuaji kama walivyofanya baadhi ya Wananchi katika majimbo machache ya uchaguzi, na katika majimbo yote ambayo wapiga kura waliamua kulinda kura zao kuhakikisha hakiingii wala kutoka kitu basi CHADEMA waliibuka kidedea. Vinginevyo CCM kwa kutumia kitengo chao kingine alias "vyombo vya dola" watachakachua tena na kurudi madarakani kwa ushindi wa "Tsunami"
 
Raisi mwenyewe yuko against wananchi, sasa atachaguaje wanapendwa na wananchi?
That is what he showed people in Mbeya with appointment of Mwakipesile as the regional commisioner for the last five years after he lost in the elections for parliamentary seat for Kyela in the same region. Even when his motorcarde was stoned and his entrouged stoped by disatisfied wananchi(pale Mwanjelwa) he could not get it...His actions indicate that Mr President is either having Incompetent or Many advisors. It is imposible to process advice if is coming from multiple unclassified sources.
 
hehehehe kama huyo bendera
uwaziri sijui hata alipewa kwanini
kwanza ni koligi wake pimary,sec.or jkt?
'natamani kujua cv ya bendera
sbb namuonaga ni kilaza sijui why?


Inaonekana huyu mshkaji ma koligi wake wote ni vilaza.
 
ndio maana tunataka katiba mpya, Rais anatumia madaraka vibaya kama mtu kakataliwa kwao iweje afae ugenini?Tafakari.......2015
 
Ndugu zangu watanzania mnaoumia nami juu ya mustakabari wa nchi yetu mafanikio ni Katiba na kuwafumbua macho vipofu wapate kuona udanganyifu na wenye tamaa kuwaambia tamaa ni mbaya kwani athari zake ni uhalibifu kama uliopo kwani wasio weza wanachukua nafasi ili kujineemesha tu wakati nchi inayumba.Wakati mwingine mawazo yangu yananiambia hata hiyo Katiba iko mikononi mwao sijui kama katika mahakama ya Fisi mbuzi anasyo haki yeyote nawaasa kwani hao watu ni noma sijui tutafanya nini?
 
Kazi ya mkuu wa mkoa na wa wilaya ni kumwakilisha rais
Kama rais ni kilaza atawateua vilaza wenzake
Hakuna cha maana ambayo hao viongozi wake wanafanya zaidi ya uchonganishi kama DC wa Igunga
 
Mwantumu Mahiza ni anabebwa na Vasco kwa sababu ni best wa Salma Kikwete.
 
Kutoka moyoni nawachukia sana wakuu wa mikoa na Wilaya,kikubwa zaidi hawana kazi kazi zao zinatekelezwa na wakurugenzi wa wilaya na Manispaa! Kinacho ni kera zaidi ni uteuzi wao' pumbafu kabisa! Utamteuaje mbunge kuwa mkuu wa mkoa/wilaya? Akiwa bungeni anawakilisha mhimili wa bunge kuisimamia serikali,akiwa kwenye ukuu wa mkoa/wilaya anawakilisha serikali' sasa kipi ni kipi!
 
Hii ina maana gani, katika uteuzi wa wakuu wa mikoa, kuna baadhi walikosa ubunge mwaka jana. Hii ni ishara kuwa wananchi walipima utendaji kazi wao na kujiridhisha kuwa upo chini then wakawatema.
Kikwete ameamua kuwarudisha tena serikalini kwa kuwapa ukuu wa mkoa au wilaya, hii inaonyesha kuwa wananchi walikosea.
Je aliyeshindwa ubunge ataweza ukuu wa mkoa au wilaya.?.
Uadilifu wao uko wapi?.

Unajuaje kama wapinzani wao walishinda kwa ulaghai au kwa kutumia fedha. Unajuaje kama wao walichukia sura zao tu au walikuwa hawawakatii fedha.

Kushindwa ubunge kamwe hakiwezi kuwa kigezo cha kutokuwa kiongozi mahiri. Kwenye uchaguzi kuna factors nyingi sana za mtu kushinda au kushindwa. Sioni tatizo la mtu kuteuliwa nafasi hiyo na wala ubunge siyo kigezo bora cha kupima uwezo wa mtu kiuongozi.
 
Waswahili wanasema kenge huwa asikii, na ukitaka kenge asikie inabidi umtandike mpaka damu zimtoke maskioni ndo atasikia. Mda wa kuwatandika CCM ni 2015 kupitia sicret balot.

Hawa alio wateua walikuwa safi sana namkumbuka mwalimu wangu wa historia dk Rehema kila akitaka kuingia Mjengoni kwa njia ya haki bila rishwa alikuwa anachakachuliwa Hongera Kikwete
 
wananchi wamemchagua JK, JK amechagua wakuu wa mikoa.... so wananchi wamechagua wakuu wa mikoa indrectly
 
kwani wanaenda kukitumikia chama au wananchi.
hawa ni makada wa chama ndiyo maana kipindi cha uchaguzi waliambiwa atakaye kosea jimbo likaenda upinzani he/she will suffer aidha waulize CHADEMA sababu zilizo wafanya wamubuluze DC wa IGUNGA
 
Raisi kuteua wakuu wa mikoa walioshindwa ubunge ina mana gani? mimi naamini majimbo ya ubunge yana watu wachache kuliko mokoa sasa kama mtu hajakubalika na watu wa chache katika jimbo lake, kama ndugu yangu Bendera hatawezaje kuongoza mkoa? ni kukosa washauri au ndiyo ushikaji?
 
huo ndio mfumo wa kuleana, we ukienda ulaya ukapewa suti , ukirudi nyumbani unagawa peremende kwa washikaji.
Tanzania bila ushikaji haiwezekani.
 
Back
Top Bottom