...mama watoto wangu Leo nitachelewa kurudi nyumbani, kwa sababu barabara ya kuja kwetu nasikia imefungwa mpaka saa sita usiku!
Hata mimi baba watoto nitachelewa kwa shida hiyo hiyo!
...mama watoto wangu Leo nitachelewa kurudi nyumbani, kwa sababu barabara ya kuja kwetu nasikia imefungwa mpaka saa sita usiku!
sijawahi kusikia wananchi wanaoishi along morogoro road from manzese to fire/kawawa road magomeni to moroko/ali hassan mwinyi upanga to moroko/makumbusho wakiandamana kuwekewa matuta....kwani ni kipande hicho cha kawe-tegeta?? kuna issue hapa magari yanakimbia sana barabara hio. juzi kati kuna mtu alileta thread hapa kusema ziwekwe taa kupunguza ajali nilisema chanzo cha ajali ni over speeding wala si taa ndio maana watu wanagongwa hovyo mchana kweupe. kama hamuwezi kujicontrol nyinyi madereva wacha wawawekee matuta....speed camera hatuna tutatumia njia ya kijima matuta.
cc: Nyani Ngabu
Kweli kabisa...........Kuna mtu kagongwa kafia pale darajani kwa Komba. Wamefunga barabara zote nne. Wanataka matuta.Soon barabara yote itajaa matuta hata kwa makosa ya waenda kwa miguu
Huu si uungwana....Subiri Agongwe Mkeo Ndo Utajua Umuhimu Wa Matuta
Pole sana mkuu... Mungu amrehemu alale pema peponi. AmenMke wangu ni marehemu siku nyingi.
Huu sasa ndo uungwana wa kiume....Aisee,Pole Sana Ndugu Yangu.
Niwie Radhi Kwa Kadhia Iliyojitokeza
Ushauri murua sana huu....Siku zote kusamehe ndio silaha kuu ya wenye 'hekima' mkuu.
He!!! Uungwana umeenda wapi tena???Acha Kujipendeleza Kwa Jamaa Kwa Kuwa Mke Wake Alishafariki. Wewe Ni Mtoto Wa Kiume Halafu Unaleta Ushambenga. Au Unataka Akuoe. Shauri Yako
Hata mimi nlijua hivyo......Ulivyomuomba radhi jamaa nikajawa na fikra kwamba wewe ni muungwana.
Ila nimegundua abadani siwezi vijembe nawe.
Naomba nikutakie kheri mkuu.
Mjadala mwema.
Oh Gosh..........Ahaaaa,Baxi Suluhisho Ni Wewe Dereva Uache Kutumia VIROBA NA MIRUNGI
Hizi barabara zinaboreshwa ili magari yakimbie zaidi na kuokoa muda. Tatizo ni matumizi ya hovyo kuanzia watembea kwa miguu na waendesha vyombo vya moto.
Tatizo jingine ni hilo la kutokuepo service road. Chukulia mtu anatoka Mwai Kibaki kuingia Bagamoyo road aje IMTU au Tanki bovu,angetumia service road badala ya kuingia ktkt. Jambo jingine lazima Tanroads waweke Zebra crossing maeneo maalum ya vivuko vya miguu. Na watembea kwa miguu waelimishwe kuvuka maeneo ya vivuko badala ya kuvuka hovyo na kuleta kero kwa madereva.
Ahaaaa,Baxi Suluhisho Ni Wewe Dereva Uache Kutumia VIROBA NA MIRUNGI
Kuna kitu kinaitwa road management and traffic control, katika idara hii TANROADS inapwaya vibaya.Nimekuwa naandika siku zote kwamba serikali imeshindwa kulinda barabara kwa kuweka utaratibu wa matumizi ya barabara hasa ktk hizii kubwa kama Bagamoyo,Kilwa,Nyerere,Morogoro,Mandela na Kawawa.
Kila siku natumia barabara ya Bagamoyo,ni kero tupu kuanzia malori mabovu,bajaj nyingine zikiendeshwa na madereva watoto,bodaboda na madereva wanao chat wakidrive vyombo vya moto!
Tatizo jingine la hii barabara ni Tanroads kushindwa kulinda hifadhi ya barabara na kuwaacha watu wakifanya biashara barabarani. Tatizo jingine ni ujenzi wa chini ya kiwango kwasababu barabara hii ingekuwa na service road kama Sam Nujoma magari yote yasingerundikana ktkt ya barabara!
Hizi barabara zinaboreshwa ili magari yakimbie zaidi na kuokoa muda. Tatizo ni matumizi ya hovyo kuanzia watembea kwa miguu na waendesha vyombo vya moto.
Tatizo jingine ni hilo la kutokuepo service road. Chukulia mtu anatoka Mwai Kibaki kuingia Bagamoyo road aje IMTU au Tanki bovu,angetumia service road badala ya kuingia ktkt. Jambo jingine lazima Tanroads waweke Zebra crossing maeneo maalum ya vivuko vya miguu. Na watembea kwa miguu waelimishwe kuvuka maeneo ya vivuko badala ya kuvuka hovyo na kuleta kero kwa madereva.
Mbona hayo ya alama za barabarani yamefanyika, shida ni baadhi ya madereva. Tena wengine akiwa nyuma yako halafu kwenye 50 kph ukapunguza, jamaa anaku-overtake halafu anakumwagia na matusi. Fanya utafiti ndani ya wiki moja halafu uone kama bado utakuwa na mtazamo huu.
Kuna kitu kinaitwa road management and traffic control, katika idara hii TANROADS inapwaya vibaya.
Wao wanafikiri kazi yao ni kujenga tu, management na traffic control wanafikiri ni kazi ya polisi.
zebra crossing! unaongelea madereva wa bongo au.......zebra crossing zipo kibao ila madereva wanaozingatia ni almost zero %??? hayo mengine yote nakubaliana na wewe.
Jaribu kuangalia Zebra crossings ktk barabara hii zimewekwa wapi,mbele ya vituo ambako Daladala zinaziba kabisa hata hizo Signs,huku shughuli kibao za kibiashara zikiendelea kituoni na ndani ya hifadhi ya barabara!!
Zebra zitaheshimika pale Watembea kwa miguu na madereva watakapo anza kuziheshimu. Na pili adhabu kali zitakapo tolewa kwa madereva watakao sababisha ajali kizembe ktk Zebra crossings!
Subiri Agongwe Mkeo Ndo Utajua Umuhimu Wa Matuta
Wananchi wa barabara ya Tegeta wamefunga barabara wakishinikizwa kuwekwa matuta barabarani humo. Hali sasa ni tete kwa wanaotoka au kuelekea Tegeta. Foleni ni kubwa mno.
Chanzo: EA Radio