Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Kuna mtu kagongwa kafia pale darajani kwa Komba. Wamefunga barabara zote nne. Wanataka matuta.Soon barabara yote itajaa matuta hata kwa makosa ya waenda kwa miguu
Kuna mtu kagongwa kafia pale darajani kwa Komba. Wamefunga barabara zote nne. Wanataka matuta.Soon barabara yote itajaa matuta hata kwa makosa ya waenda kwa miguu
Subiri Agongwe Mkeo Ndo Utajua Umuhimu Wa Matuta
Subiri Agongwe Mkeo Ndo Utajua Umuhimu Wa Matuta
Sasa mkuu barabara zote zikijaa matuta kutakuwa na safari kweli!?.
Ni kweli madereva kwa asilimia kubwa huwa wanafanya makosa barabarani,lakini hata watembea kwa miguu nao ni vivyo hivyo.
Mbaya zaidi ikishatokea ajali moja kwa moja lawama zinaenda kwa dereva.
La muhimu ni kuheshimu taratibu na sheria za barabarani kwa watumiaji wote.
Mke wangu ni marehemu siku nyingi.
Jamaa mtu wa ajabu sana. Amenitusi lakini namsamehe tu
Watu wanafikiri barabara ni sitting room na hata polisi wa barabarani hawachukulii hatua yoyote wale wanao tumia vibatya barabara.Kuna mtu kagongwa kafia pale darajani kwa Komba. Wamefunga barabara zote nne. Wanataka matuta.Soon barabara yote itajaa matuta hata kwa makosa ya waenda kwa miguu
Si uungwana huo mkuu.Subiri Agongwe Mkeo Ndo Utajua Umuhimu Wa Matuta
Acha Kujipendeleza Kwa Jamaa Kwa Kuwa Mke Wake Alishafariki. Wewe Ni Mtoto Wa Kiume Halafu Unaleta Ushambenga. Au Unataka Akuoe. Shauri Yako
Si uungwana huo mkuu.
Na kwa taarifa yako matuta si suluhisho.
...mama watoto wangu Leo kurudi nyumbani, kwa sababu barabara ya kuja kwetu nasikia imefungwa mpaka saa sita usiku!
Watu wanafikiri barabara ni sitting room na hata polisi wa barabarani hawachukulii hatua yoyote wale wanao tumia vibatya barabara.
Barabara ni kwa magari lakini mikokoteni, guta na baiskeli za mwendo wa 0-5km per hr zinashindana na gari za 60-100km/hr
Huu ni uenda wzzimu