Kutokana na matukio mengi ya mauaji ya raia wasio na hatia, je wananchi wana weza kuikataa serikali ya wauaji? Kwa kuwa wawakilishi wao Bungeni wanatetea maslahi yao badala ya kuwatetea wapiga kura wao je wananchi wana namna ya kuikataa serikali isiyowahakikishia usalama? Wanasheria na wanaharakati karibuni tuijadili mada hii.