Wananchi wa Nakonde Zambia mpakani waandamana na kutoka nje

South

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
3,514
5,137
Wananchi wa eneo la Mji wa Nakonde wameamua kutoka majumbani na kutoka nje kupinga zuio la kukaa ndani kutokana na ugonjwa wa Corona muda huu askari wanajaribu kuwazuia na kuwadhibiti.

Afisa Habari wa Wilaya ya Mbozi amehabarisha kwamba Wananchi wa mpakani hapo wameandamana na hawataki lockdown tena. Amezidi kuhabarisha kwamba ilitokea fujo kidogo baina ya Jeshi la Polisi na wananchi wa Nakonde

20200520_124427.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taratibu mpaka tutaelewana.

Wanalianzisha na wakifanikiwa kwingine nako wanalianzisha.
 
Mchana wa leo mji wa Nakonde kumetokea mandamano raia wakidai chakula baada ya kukaa ndani siku 12 toka serikali yao wafunge mpaka. Sintofahamu hiyo imepelekea raia kuvamia kituo cha polisi na polisi kukimbia nguvu ya wananchi.

Chanzo cha taarifa ni kutoka kwa shuhuda aliyepo eneo la Nakonde baada ya askari kurusha gurunet na kuwadondokea walipo.

Hali Imekua tete wananchi wanadai chakula ama mpaka ufungweliwe kazi ziendelee kama kawaida..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchana wa leo mji wa Nakonde kumetokea mandamano raia wakidai chakula baada ya kukaa ndani siku 12 toka serikali yao wafunge mpaka. Sintofahamu hyo imepelekea raia kuvamia kituo cha polisi na polisi kukimbia nguvu ya wananchi.
Chanzo cha taarfa ni kutoka kw shuhuda aliyepo eneo la Nakonde baada ya askar kurusha gurunet na kuwadondokea walipo. Hali Imekua tete wananchi wanadai chakula ama mpaka ufungweliwe kazi ziendelee kama kawaida..

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi tayari!
 
Mchana wa leo mji wa Nakonde kumetokea mandamano raia wakidai chakula baada ya kukaa ndani siku 12 toka serikali yao wafunge mpaka. Sintofahamu hyo imepelekea raia kuvamia kituo cha polisi na polisi kukimbia nguvu ya wananchi.
Chanzo cha taarfa ni kutoka kw shuhuda aliyepo eneo la Nakonde baada ya askar kurusha gurunet na kuwadondokea walipo. Hali Imekua tete wananchi wanadai chakula ama mpaka ufungweliwe kazi ziendelee kama kawaida..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una haraka sana leta habari iliyokamilika!!
 
Back
Top Bottom